Huko kwenye suala la uchaguzi hujaona hoja zinazoelezea ununuzi wa vitambulisho vya kura, kutokuboreshwa daftari la wapiga kura na uchakachuaji wa matokeo. labda macho yako yanaona unayopenda kuona?
Mwanakijiji nisikufiche
nilikuwa nafikiria hili swala ila nadhani nilipungukiwa na ujasiri. Wewe umeweka standard ya juu sana.
Wakishindwa wajiudhuru, Ili tupate viongozi wengine wakutupeleka kwenye next level ya mashtaka yetu.Ni lazima tufikie mwisho, tunakoelekea ni kwenye kuzoea harakati, malalamiko na chaguzi zisizo kwisha, itafikia wakati tutasahau hata tunachokipagania ni nini.
Mwanamke gani huyu asiyezaa. Tusipopata mtoto sasa uondoke.
Madai yako hayana justification ya kuwalazimisha viongozi wa juu wajiuzulu. Ume-draw conclusion kwa kutumia sample ndogo sana. Tume huru ya uchaguzi ikipatikana unaweza uka-draw hiyo conclusion ila sio kwa mazingira ya sasa.
Mwanakijiji nafikiri ulichokisema ni sahihi,mi nakumbuka jinsi Mh zitto alivyoshinda kule kigoma kask,ilikuwa ni pamoja nakutambua kura zake kupitia kuratibu watu wenye vitambulisho wote,hivyo akawa anafahamu watu wote watakaompigia KURA, na hata mtu akihama kambi tayari mnapunguza idadi yenu ya kura..kinachotakiwa kufanyika ni kuwatumia vijana wa kila kijiji kuratibu zoezi hilo kwa vijijin watu wanafahamiana sana..hii itawezekana kufahamu idadi ya watu watakaompgia kura Nassari kijana wangu pale Tabora school.Pia inatakiwa kila siku wakutane nakutoa ripoti kama kuna mabadiliko ya idadi.....Jana nilikuwa naongea na rafiki yangu ambaye ni mkazi wa Arumeru ananiambia hali sio nzuri kwa uoande wa CCM ila akasema kuwa vijana wengi hawna IDs za kupigia kura....
Hayo ma nbsp ndio madudu gani sasa? kama hauna kifaa cha uhakika cha kuingia nacho mtandaoni si bora ungetafuta internet cafe kuliko kutuwekea mavitu ya kuchafua nyuzi?