Muda mrefu sana mkuu!Mnyika anaulizwa kuhusu kupaa kwa bei ya dola; je nn kifanyike?
Ni kweli hatuna sheria,niliwahi kushushuliwa duka moja lililokuwa linatoza kwa dola bidhaa,nilikereka sana.Mnyika: Pamoja na shilingi kushuka thamani lazima iheshimiwe kwa kutunga sheria kuzui matumizi ya dola kwa local payments