Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Naibu katibu mkuu wa Chadema anaendelea kuhojiwa sasa hivi ktk televisheni ya ITV. Kwa jinsi anavyofafanua ilani ya Chadema na changamoto zinazoikabili taifa letu, na namna gani wao wakipewa nafasi ya kuongoza nchi hii watakavyotekeleza ilani yao....inapendeza sana! Naamini hata Kinana na mgombea wake wa Urais hawawezi kuelezea changamoto za kitaifa na namna ya kuzitatua kisayansi. Kama mpiga kura ktk jimbo la ubungo, ni wazi kura yangu itaenda kwa Mnyika!