Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Hata mimi namkubali sana huyu kijana JJ. Mnyika. yuko fiti kila idaraespecially upstairs ni briliant, Ubungu ameiteka kwa asilimia 80%Kwakweli Kijana Mnyika yuko vizuri sana kichwani, huyu ni hazina kubwa mno kwa Taifa, nimetazama mahojiano haya jana, kila alipo kuwa akiulizwa swali na mtangazaji Chuwa ambaye mwanzoni alikuwa a bit rude, alilijibu vizuri mno na kumalizia vyema kwa kuomba wananchi tuwape ridhaa watekeleze hayo yaliyomo kwenye ilani yao.
Ni ukweli usiopingika kwamba kutokana na mjaibu mazuri yasiyo teteleka hata mtangazaji Chuwa alijikuta akibadilika nakuanza kuuliza maswali yake kistaarabu tofauti na alivo anza,
Namalizia kwa kusema, Mnyika umenikuna, kura yangu ni kwa chamadema, na naamini kila mtanzania aliye angalia jana kipindi hicho kura yake atawapatieni ili mtekeleze hayo mliyo yaahidi.
Go go go Chadema and God bless you
Jana nimemsikiliza kwa makini, ila pia Mtangazaji Stephen Chuwa alionyesha udhaifu fulani kama vile ameikubali Chadema, hivyo akamchongea Nyika leading questions hivyo Mnyika kujikuta anaserereka tuu kwenye mteremko. Kwa Chuwa ilitakiwa hata kama amaikubali Chadema na amemkubali Mnyika, alitakiwa aendelee kukaba mpaka kona, yeye amebana kidogo pale mwanzo, kishaa akaachia jumla M yika ndio akageuka mwendeshaji Chuwa akabaki kuwa msikilizaji.
More interactive programs kama hizi zinahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote.