yaani nyika ungekuwa karibu ningekununulia bia ya tusker kwa jinsi ninavyoipenda! huyu ni fisadi, tena hayawani na mhaini. alitaka kutumia magazeti yake kulitumbukiza taifa kwenye vita na ghasia halafu, akimbilie kwake huko uajemi. nani asiye kuwa na hasira dhidi ya bwege rostam azizi? naomba na miye simu yakew nimpashe......kudadeki