Jamani msikose kuja jangwani jumamosi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara wa chadema , viongozi wote wa CDM watakuwepo, nami nitakuwepo live nikirusha matangazo......
Sasa tunakwenda kula bata wapi baada ya ushindi?
Vipi wamekumbatiana baada ya kuhitimisha kesi?
Hilo halituhusu, tunachotaka sisi haki itendeke, na ionekane ikitendeka,.