MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Hukumu iko wazi,
"Mshitakiwa aliua kwa sababu ya kuokoa maisha ya mkubwa wake aliyekuwa amevamiwa na Mwandosi (R.I.P). Marehemu alikuwa na bomu ambalo alikusudia kujilipua na kuua askari wengi iwezekanavyo, lakini bahati nzuri askari shujaa ilimuwahi, mahakama inamhukumu marehemu miaka 30 jela huko kaburini aliko."
"Mshitakiwa aliua kwa sababu ya kuokoa maisha ya mkubwa wake aliyekuwa amevamiwa na Mwandosi (R.I.P). Marehemu alikuwa na bomu ambalo alikusudia kujilipua na kuua askari wengi iwezekanavyo, lakini bahati nzuri askari shujaa ilimuwahi, mahakama inamhukumu marehemu miaka 30 jela huko kaburini aliko."