Mliokosa updates za diamond..heaven on desert nimerudi

Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana

ha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya
 
Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana

Sasa kwani u'secretary' wa mtu fulani maarufu si kazi? nani kakuambia uSecretary ni utumwa!? wengine mama zetu walikuwa maSecretary na wametusomesha tuna degree kadhaa now na hiyo hiyo hela ya uSecretary! Ili mradi anakulipa stahiki yako hiyo ni ajira! Hata maCelebrity wa kimataifa wameajiri watu kuwasaidia majukumu yao mbali mbali, kama hili la kuto taarifa kwa public. sijui unamchukia nani kati ya 'Diamond' au huyu jamaa ambaye ni Publicist wake..but heey man, stop hating!
 
Tz We have a long way to go...

Sio vibaya kuwa Secretary wake but sidhani kama una mkataba au unafanya kazi kwa ajili ya upambe kama wale wauza sura kwenye shooting,,,maana wenzenu Ulaya wanalipwa kwa kazi hizo.
 
Tz We have a long way to go...

Sio vibaya kuwa Secretary wake but sidhani kama una mkataba au unafanya kazi kwa ajili ya upambe kama wale wauza sura kwenye shooting,,,maana wenzenu Ulaya wanalipwa kwa kazi hizo.

bakikufikilia hivyo hivyo....but niko kwenye kazi halali na pengine mshahara ninaoupata kwa mwezi wewe kuupata ni ndoto ya jioni
 
bakikufikilia hivyo hivyo....but niko kwenye kazi halali na pengine mshahara ninaoupata kwa mwezi wewe kuupata ni ndoto ya jioni

Jipe moyo kijana unafikiri kila mtu kaajiriwa nini? Mi nina counts hela daily sio wewe unasubiria kila trh 31.
Back in the days tokea nitoke kwenye ajira.
 
Baada ya kuwa kimya kwa mda mlefu pasipo kuwapa updates kuhusu Diamond platnumz
now nimerudi ...ntaendelea kuwapa updates zote za uhakika kuhusu diamond
kumbuka habari yoyote kuhusu diamond ambayo itakuwa haijathibitishwa na mimi jua ni batili
..BY Heaven on desert
WASAFI CLASSIC ENTERTAINMENT

we Penny?au sepe2?au kidoti?au uwoya?au wolper?au aunty?au mama salma k?
Maana hao mi ndo ntawaamini kwan hadi boxer yake wanaijua
 
ha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya

acha kutufanya sisi ni wajinga wewe! Diamond ana blog yake anayoweka info zake umo na ajaajiri mtu hapa jamii forum! Kwaio acha kutuzubaisha hapa wewe ni ngese tu anaependa aolewe na uyo diamond! Kwanza mi nakujua sana we jamaa tena kwenye facebook unajiita kisula real love we ni shabiki tu na auna uhusiano wowote na uyo diamond acha kujifagilia wewe ndina jilaumu kwa ujinga uliouandika hapa yakua autaurudia tena# learn from ur ----in mistakes#
 
huyu ndio demu mpya wa dai-domo ?
sijakuelewa manake!

attachment.php
 
Watanzania mbadilike.Watu wanasifia vya kwao nyie mnapiga mateke.Dogo nyota yake inag'ara na watu wanapenda anachokifanya na hivyo anaingiza kipato na watu wanapata ajira kwa kazi yake ya muziki akiwemo huyo 'secretary' wake.Jifunzeni kutoka kwa wenzenu wa Nigeria,RSA,Uganda,Marekani na kwingineko muone jinsi ambavyo watu wanakubali kazi za watu wao.Tatizo la Ukoloni halijaisha kwenye bongo zenu,mtakuwa watumwa hadi lini?Sifia mtu anapofanya mazuri na kemea anapofanya mabaya.Baadhi yenu utakuta mvaa hata nguo zenye lebo za wanamuziki wa ulaya ilihali hata kununua T-shirt yenye lebo ya mtanzania hamnunui,ndugu zangu huo bado ni utumwa kifikra yaani mawazo mgando.WATANZANIA MBADILIKE NA MPENDE VYENU...Mnyongemnyongeni ila haki yake mpeni.Wewe kama unaona utaki kile anachokifanya mwenzio kaa kimya endelea na yako yanayokuhusu.
 
Back
Top Bottom