njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,512
ila best unapenda kuanika sura yako!kha!
Muuza sura anayejiamini.. hehehe
ila best unapenda kuanika sura yako!kha!
we Penny?au sepe2?au kidoti?au uwoya?au wolper?au aunty?au mama salma k?
Maana hao mi ndo ntawaamini kwan hadi boxer yake wanaijua
weka mambo wachana na haters,ila napenda kujua wale dancers wa diomomnd majina yao
Kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
Kuwa kiakili basiwe ni mgonjwa et? Sasa nani anataka info za diamond humu ndani? Embu tutolee ujinga wako hapa kwani uyo diamond ye ni nani??
Huna akilikwa kweli inasikitisha sana, kwa kijana kama uyu kuandika ujinga mzito kama huu, wewe ni ndina, ni ngese,ni falasi na ni mbuzi kabisa tena nguruwe! Kwaio wewe ni mrs.diamond?
We bure kabisa... umekuja kutangaza mshahara hapa? haya tuwekee digits kabisa na matumizi yakoha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya
Dogo mshamba sana,aliingia Hapa akiita kifesi anaandika utumbo mwingi sana.akala za Uso ndo kujiita heaven on earth.zamani nilidhani we ndo Heaven on ku na siku hizi ulibadili avatar Heaven on earth samahani aisee
we ni mgonjwa et? Sasa nani anataka info za diamond humu ndani? Embu tutolee ujinga wako hapa kwani uyo diamond ye ni nani??
We bure kabisa... umekuja kutangaza mshahara hapa? haya tuwekee digits kabisa na matumizi yako
Haters mlimkimbiza jamani siku hizi anang'aa ndani ya Instagramsredi kama hizi kuzifufua sio mbaya!
kifesi unatung'ong'aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaje?
ahjahahhahahahhahahahha ila mekumiss heaven on desert
Usiumize kichwa wabongo ndivyo walivyo, wivu, fitina, majung, pasipo sababu ya msing, fanya Kaz yako tupe updates za msanii watu kipnz, kaa humpnd kaa kimya, utaskia stimpend tuu, sababu hamna, diamond ni icon ya tz International tupe updates zake tujuwe tutakaoSasa kwani u'secretary' wa mtu fulani maarufu si kazi? nani kakuambia uSecretary ni utumwa!? wengine mama zetu walikuwa maSecretary na wametusomesha tuna degree kadhaa now na hiyo hiyo hela ya uSecretary! Ili mradi anakulipa stahiki yako hiyo ni ajira! Hata maCelebrity wa kimataifa wameajiri watu kuwasaidia majukumu yao mbali mbali, kama hili la kuto taarifa kwa public. sijui unamchukia nani kati ya 'Diamond' au huyu jamaa ambaye ni Publicist wake..but heey man, stop hating!
hahahahhahahha yani alitukomaaaa!Haters mlimkimbiza jamani siku hizi anang'aa ndani ya Instagram
HAHAHAHAHHAHAHAHAHH!dah inaonekana mwaka 2013 wachawi walikua wengi sana Jf.
HAHAHAHAHHAHAHAHAHH!dah inaonekana mwaka 2013 wachawi walikua wengi sana Jf.