Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
mwambie bwana wako mbwembwe afanye na ma ex zake...uliona twitter prezzo alivyomzimisha?
ila best unapenda kuanika sura yako!kha!
ha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya
Diamond anakulipa sh ngapi? na anakugonga kama anavomgongaga Halima Kimwana ?? mtoto firauni yule dah
we Penny?au sepe2?au kidoti?au uwoya?au wolper?au aunty?au mama salma k?
Maana hao mi ndo ntawaamini kwan hadi boxer yake wanaijua
Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana
we penny?au sepe2?au kidoti?au uwoya?au wolper?au aunty?au mama salma k?
Maana hao mi ndo ntawaamini kwan hadi boxer yake wanaijua
Sasa kwani u'secretary' wa mtu fulani maarufu si kazi? nani kakuambia uSecretary ni utumwa!? wengine mama zetu walikuwa maSecretary na wametusomesha tuna degree kadhaa now na hiyo hiyo hela ya uSecretary! Ili mradi anakulipa stahiki yako hiyo ni ajira! Hata maCelebrity wa kimataifa wameajiri watu kuwasaidia majukumu yao mbali mbali, kama hili la kuto taarifa kwa public. sijui unamchukia nani kati ya 'Diamond' au huyu jamaa ambaye ni Publicist wake..but heey man, stop hating!
Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana
kumbe hata na wewe ulianza kwa kuajiriwa so muache kijana nae aajiriwe,what ua suppose to do nikumshauiri nae sikumoja ajiajiri awe kama wewe.Jipe moyo kijana unafikiri kila mtu kaajiriwa nini? Mi nina counts hela daily sio wewe unasubiria kila trh 31.
Back in the days tokea nitoke kwenye ajira.
weka mambo wachana na haters,ila napenda kujua wale dancers wa diomomnd majina yaoBaada ya kuwa kimya kwa mda mlefu pasipo kuwapa updates kuhusu Diamond platnumz
now nimerudi ...ntaendelea kuwapa updates zote za uhakika kuhusu diamond
kumbuka habari yoyote kuhusu diamond ambayo itakuwa haijathibitishwa na mimi jua ni batili
..BY Heaven on desert
WASAFI CLASSIC ENTERTAINMENT