Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,834
- 8,929
Lunyungu has a point. Sisi wananchi tunachoweza kufanya ni kuanza kumark mali za mafisadi na kuwakimbia. Honestly kama RA et al... wapo Voda tuanzishe campaign za kugomea bidhaa zao..sasa what else can we do? Mkuu Lunyungu tuko na wewe. Hata kama waajiriwa ni ndugu zetu..ni katika mapenzi mema na nchi yetu, watatusamehe. Jamaa analipwa millions every day---kodi zetu....na bado tunampelekea nyingine..why?
Hata Gandhi alisema...hiyo ni silent protest! Hakuna la soko huria wala nini..mali yoyote ya fisadi, ni kuigomea..infact wenzetu huko majuu hii trick ya kugomea vitu imefanikiwa sana! Lets try it..na isiishie kwenye Vodacom tuu..ni kote mafisadi wanakohusika...
Vodacom situmii line yao tena....
Hata Gandhi alisema...hiyo ni silent protest! Hakuna la soko huria wala nini..mali yoyote ya fisadi, ni kuigomea..infact wenzetu huko majuu hii trick ya kugomea vitu imefanikiwa sana! Lets try it..na isiishie kwenye Vodacom tuu..ni kote mafisadi wanakohusika...
Vodacom situmii line yao tena....