Mkwasi Rostam na Vodacom

Na mimi nilitupa sim card ya Voda siku nyingi. Nyie ambaye hamjatupa mnamuongezea mihela mwizi RA.
 
Wewe Lunyungu sasa unaishiwa, yaani watu wasitumie vodacom au bidhaa za Rostam Azizi kisha watatumia nini? Rostam amekukosea nini mpaka ukatae kutumia bidhaa zake?
 
Wewe Lunyungu sasa unaishiwa, yaani watu wasitumie vodacom au bidhaa za Rostam Azizi kisha watatumia nini? Rostam amekukosea nini mpaka ukatae kutumia bidhaa zake?

Masaka hadi muda nina shawishika kuelewa kwamba kichwani u mtupu na kumejaa takataka .Kama huoni makosa ya Rostam kaa pemben tuache sisi tunao yaona tupigane mana CCM wala Serikali ya CCM hawawezi kumgusa kwa kuwa alikodisha helikopta na CCM kushinda Uchaguzi kiteto .
 
Je watanzania wako makini kama wakenya, nafikiri hapa siyo kuwasusia Vodacom hila ni kususia biashara zote zilizopatikana kwa njia ya kifisadi. Hivyo kama hata Vodacom inaendeshwa na pesa za Kifisadi haina shaka watanzania inatakiwa wachukue hatua. Lakini kama haiko katika makampuni yanayo pata missada au vyanzo vya pesa kifisadi wasipate adhabu hiyo.
 
Je watanzania wako makini kama wakenya, nafikiri hapa siyo kuwasusia Vodacom hila ni kususia biashara zote zilizopatikana kwa njia ya kifisadi. Hivyo kama hata Vodacom inaendeshwa na pesa za Kifisadi haina shaka watanzania inatakiwa wachukue hatua. Lakini kama haiko katika makampuni yanayo pata missada au vyanzo vya pesa kifisadi wasipate adhabu hiyo.

Kakindo
Rostam & Lowasa ulizia vyema utaambiwa mambo yao na Vodacom.Rostam ni share holder hili liko wazi .
 
Kakindo
Rostam & Lowasa ulizia vyema utaambiwa mambo yao na Vodacom.Rostam ni share holder hili liko wazi .

shareholders.jpg


Caspian ni ya Rostam
Planetel ni ya Noni

Alphatel, Shivacom na Zefona ni super dealers wa Vodacom Tanzania..mgawanyo wao wa shares sijui umekaaje....
 
Supermarket gani iliyosusiwa Kenya, Uchumi Supermarket??

Icadon
Wakati Kibaki kaiba Kenya some of the supermarket belongs to Kikuyu na matatu nyeti zilipenyeshwa kwamba hao ndiyo supporter wa Kibaki ambao wama deals na biashara zao kuendelea .ODM called on people to boycott products zao kuanzia nairobi hadi Vijijini .Kibaki alilia openly akasema ni subbotage maan aliguswa pabaya .Watumishi ambao walikuwa wame ajiriwa kwa wakikuyu kwenye mashamba ya maua walikataa kwenda kazini kwa kuwa pesa ambazo walizalisha zilikuwa na connection na Kibaki na wizi wa kura .

Kwa Tanzania hili ni swala nyeti .Bila ya kujalia tofauti za watu za kiitikadi Rostam hawezi kuadhibishwa na Chama chake wala Serikali .Kura wanatupiga na kulazimisha matokeo kila mara , sasa ni sisi kuambiana kuanzia hapa hadi mitaani kugomea bidhaa zote ambazo zina husishwa na mafisadi .Kwa kuanzia tu tuachane na Rostam twendeni Celtel , Tigo ama zantel .Ndiyo heshima na jeuri hii .Ndilo tunalo liweza hili .Maana pesa ni yetu na uamuzi wa kutumia kampuni gani ya simu ni yetu .Hawezi kupokea 152mn tuna lalama na bado tunampelekea zingine wenyewe .Je hii ni akili ya kawaida ?
 
shareholders.jpg


Caspian ni ya Rostam
Planetel ni ya Noni

Alphatel, Shivacom na Zefona ni super dealers wa Vodacom Tanzania..mgawanyo wao wa shares sijui umekaaje....

Alphatel ni Fredrick Lowasa ambaye tayari kuna malalamiko jinsi alivyopata exclusive license ya kutengeneza card za simu kwa mchangamanuo ambao marehemu mtoto wa Mengi aliubuni, andika na kuuza kwa serikali kwa muda mrefu ili aweze kuanzisha hiyo biashara pasipo mafanikio.
 
Tayari huge connection na sababu kubwa ya kuachana na Vodacom.Lowasa connection na Rostam je si sababu fika hata kama wana 2% of the shares ?Issue ni popote walipo mafisadi ambao leo wameshindikana mbele ya vyombo vya sheria .
 
Kwa hilo la vodacom siafiki kabisa.....labda kama tumeishiwa mambo ya kufanya....na hoja zenye mvuto na kujadili mambo nyeti...kuyatafutia ufumbuzi.....
 
35 % ya shares za vodacom mnajua ni mamilioni mangapi?
ikiwezekana kufanywa wataabike na hao mabosi waacheni wataabike. anayeweza kukataa kutumia vodacom kufanya hivyo kutakuwa ni bora kuliko kuwanufaisha hao mafisadi.
 
kazi ipo. inawezekana kabisa kuishi bila kutumia voda. sijawahi kuwa na line yao na wala sitegemei kuwa nayo
 
Hii kampeni, inarejea tukio la Kihistoria katika kupigania Uhuru wa Tanganyika, wakati huo Baba wa Taifa, Hayati Julius K. Nyerere, alikuwa kipiga kampeni ya watu wasinywe bia, zinazozalishwa na viwanda vya wakoloni, kwamba, "ukinywa bia unakunywa damu yako." Ilikuwa ni hujuma dhidi ya wakoloni.

Sasa kwa hili la Vodacom, hapa Mkoloni ni nani, na je yupo peke yake, na je huko kwenye mitandao mingine hakuna wenye sifa hizi za kikoloni - yaani kuwanyonya damu watanzania hadi wapauke zaidi ya sasa, ukimchunguza kuku hautamla.

Tukiacha hili mtakwenda kwenye mradi wa kutoa maji Ziwa Viktoria, kwenda Shinyanga ambako tender ya kusambaza mabomba ilikuwa ni huyu mwizi akilipwa shilingi milioni nne kwa kila moja lililokuwa likisafirishwa kutoka Dar es Salaam hadi eneo la Ihelele, Misungwi Mwanza kwenye chanzo cha maji cha mradi huu.

Hapa Bwana Mamvi alikuwemo ndani katika mradi (wiziii) huu, sijui kama muungwana kwa wakati huo kama alikuwemo kwenye njama hii. Lakini hapa ndipo uhasama wa Mamvi na mahasimu wake ulipoanza baada ya kuwazika kwenye deal hii, wakiwemo makada maarufu wa CCM.

mamvi akiwa waziri wa maji na Maendeleo ya Mifugo aliwahi hata kushtakiwa kwa Mkapa kutokana na kiu yake ya kushikiza mshiko na kupiga madili, huku kijana wa Kiiran, akiwa kamanda mpanga mipango. Halafu leo eti Siyo fisadi aliwajibika kisiasa.
 
I have never dared to have their connection ... not even once ... this is it ... the last nail in their coffin ... they will never have me .. am with you
 
Back
Top Bottom