GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
Imesemwa siku zote ndege wafananao huruka pamoja, huyu Madaso anavyomtetea huyo mkuu wa wilaya mzinzi ni wazi nae pia ni mzinzi kama Madaha ndio maana haoni ubaya wa jambo hili! Swali zuri sana First lady kauliza Madaha Hajaoa? na kama ameoa anawezaje kusimama na kupinga uzinzi? Hata ukiisugua vipi shaba haiwezi kuwa dhahabu, madaso huwezi badili ukweli madaha juma Madaha ni Mzinzi
sema wewe mkuu,
mi mara ya kwanza nilihisi inawezekana huyu ndio mheshimiwa mkuu wa wilaya mwenyewe MADAHA==MADASO
maana anamtete ka nini sijui, aaarrrrggghh.