wanachotaka kufanya ni kuonyesha kwamba Chadema wanafujo ili wananchi wasikipigie kura hapo lesho. Mimi nilishagundua janja ya CCM tangu zamaniLengo lao naona ni kuwatia vilema wengine wasije piga ata kura kesho
Shime wanambea its time to do away with CCM.
Asante Left wing kwa ufafanuzi. Kesho tunamwua Goliath. Ndiyo atajua maana ya nguvu ya umma.
Kuna mdau amenihabarisha kuwa Slaa amemaliza kuhutubia na askari wa FFU wanalipua mabomu ya machozi all the way toka maeneo ya CCM kuelekea Mwanjelwa
MY TAKE
Unabii wa Slaa naona ndo unakamilika bse aliwahi sema CCM ndo wataleta fujo b'se wao ndo wenye dola na kutoa amri
mtu aliyeshindwa utamjua kwa kuwa anaropoka ropoka bila kujenga hoja za msingi.Afadhali nihamie hapa, huko jangwani wanaongea upupu mtupu, full pumba hata kitimoto hali!!! naona kama vile wamechanganyikiwa vile
yaani hakuna nguvu ya marais wa wastaafu, matangazo ya bei mbaya, jukwaa la kisasa, nyimbo na muziki.. mmh.. nadhani kutahitajika tafsiri sahiihi ya hii mikutano maana mingine haiingii akilini.. kweli ni wakati wa mabadiliko..
Mkuu LF a.k.a "oval office"Left Wing said:Shame on you Nyombi Dhambi uliyoifanya leo Itaigharimu CCM kwenye Sanduku la Kura Kesho