mkuu, unajua asilimia kubwa sana ya wapiga kura wa Igunga hawakupiga kura last year, hatujui ni kwa nini, lets hope kwamba, CDM imeweza kuwapa matumaini na wajitokeze kupiga kura.Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
You are a great thinker!Kwani slaa ilikuaje?alijaza watu kibao kiko wapi?nyie mna mbio sisi tunajua njia,CCM oyeeeeeeeeeee!
Kwani slaa ilikuaje?alijaza watu kibao kiko wapi?nyie mna mbio sisi tunajua njia,CCM oyeeeeeeeeeee!
Mimi pia nina matumaini makubwa na ushindi wa CHADEMA hiyo kesho. Lakini hofu yangu kubwa ni kwamba kati ya hao ambao hawakupiga kura na wakaamua kupiga sasa, wanaweza bado kuwa ni mashabiki wa CUF au CCM. Kwangu mimi, iwapo itashinda CUF bado litakuwa ni jambo jema. Cha msingi CCM isipate jimbo Igunga. I hate CCM.mkuu, unajua asilimia kubwa sana ya wapiga kura wa Igunga hawakupiga kura last year, hatujui ni kwa nini, lets hope kwamba, CDM imeweza kuwapa matumaini na wajitokeze kupiga kura.
wale ambao hawakupiga mwaka jana ndio mtaji mkubwa wa CDM. tabia ya CCM ni kuhakikisha kwamba watu wachache sana wanajitokeza kupiga kura, wakiwa na uhakika kwamba, wanachama wao watakwenda kupiga kura.
Historia inaweza kuandikwa upya Igunga hapo kesho. Nina matumaini chanya.
Kwani slaa ilikuaje?alijaza watu kibao kiko wapi?nyie mna mbio sisi tunajua njia,CCM oyeeeeeeeeeee!
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
Regina Mwaleko wa clouds FM alikuwa akiripoti live kutoka Igunga na amesema kwamba mkutano wa CDM umejaa watu wengi sana na kupelekea CCM na CUF kukosa watu kwenye mikutano yao. Hivi sasa makamanda wanajitambulisha na kuhimiza wananchi wa Igunga kujitokeza kwa wingi kesho kupiga kura. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki Tanzania
Mimi pia nina matumaini makubwa na ushindi wa CHADEMA hiyo kesho. Lakini hofu yangu kubwa ni kwamba kati ya hao ambao hawakupiga kura na wakaamua kupiga sasa, wanaweza bado kuwa ni mashabiki wa CUF au CCM. Kwangu mimi, iwapo itashinda CUF bado litakuwa ni jambo jema. Cha msingi CCM isipate jimbo Igunga. I hate CCM.