Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.lukolo ccm wanaiba kura we hujui...
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.lukolo ccm wanaiba kura we hujui...
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Mna maana wana Igunga wamemkimbia Mzee Mkapa? hebu leteni picha sisi wengine hatupendi majungu
Regina Mwaleko wa clouds FM alikuwa akiripoti live kutoka Igunga na amesema kwamba mkutano wa CDM umejaa watu wengi sana na kupelekea CCM na CUF kukosa watu kwenye mikutano yao. Hivi sasa makamanda wanajitambulisha na kuhimiza wananchi wa Igunga kujitokeza kwa wingi kesho kupiga kura. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki Tanzania
Ni kweli kabisa vijana wengi hawajiandikisha, na hii inaweza kuwa nzuri kwa ccm!Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.