Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
CUF wanaona chadema ni kama chama tawala vile
Acha hizo bana! mbona Mtatiro hajaitaja cmd hata mara moja! nyie hampendi kusemwa ee!
CUF wanaona chadema ni kama chama tawala vile
CCM wameruhusu Tv yao ioneshe matangazo ya Mke wao kipenzi.
Mtatiro anamwaga sera sasa anadai prof lipumba anadigrii 4 na ni mchumi wa africa
Mtatiro ajesema wananchi wasiwasikilize propaganda za CDM ?Acha hizo bana! mbona Mtatiro hajaitaja cmd hata mara moja! nyie hampendi kusemwa ee!
umesikia vibaya ni gamba mi niko hapa live mkuu
Ha ha ha ha nimependa remix zao za nyimbo