Mkutano wa CHADEMA ndani ya Mbeya Leo

Tarehe 14/12/2011,mikutano kama hiyo itaendesha kwa kila wilaya,tarehe 21/12/2011,kila kata na tarehe 28/12/2011,kwa kila kijiji.Baada ya hapo,Chadema Taifa litawaelekeza nini cha kufanya wananchi hasa pale kama maoni yao hayatasikilizwa.Kikubwa zaidi,ni kwamba kama hakutakuwa na mabadiliko ya sheria hiyo katika kikao cha Bunge cha mwezi Januari/Februari,basi CHADEMA itasusia mchakato wa Katiba na People's Power itachukua mkondo wake.

hapo ndio patamu.....ki ukweli elimu ya uraia vijijini ni zero...watu hawajui katiba ni nini...watu hawajui siasa ya vyama vingi....watu mpaka sasa wanaamini wakichagua vyama vingine kinachofuata ni vita tu...ki ukweli katika ili tuhakikishe tunatekeleza..."GOD BLESS TANZANIA AND BLESS CHADEMA"
[/QUOTE]

Kama mpango huo utafanikiwa,CCM itakuwa imepigwa tatu bila,maana mtaji wa Magamba ni watu waishio vijijini.
 
E bana hii ni kali sana, e mola wabaliki chadema watufikishe uko salama, najua magamba (ccm) hawataamini, walijua maandamano ndo njia yao chadema lakini hii ni nimeipenda pia ni kali kuliko, naomba ratiba kigamboni mtakuja lini kwani lazima nihudhurie, e mola wabariki chadema daima na milele, nape upoooooooo....

Mkuu tarehe nilizozitaja kwenye post yangu hapo juu ni kwa Tanzania nzima,hivyo fuatilia hilo kwa viongozi wa CDM ngazi ya wilaya,kata na kijiji/mtaa.
 
nawashauri hawa wenzetu wa pipoz pawa,huko kwenye mikutano zile kadi za uwanachama tusizisahau . !
Hapo tuko pamoja shavu kwa shavu, na jino kwa jino until further notice . .

Kwa jana wamejitahidi sana kutoa kadi za uanachama.Na hiyo ni hatua nzuri sana kuelekea kuwapiga chini magamba.
 
Tarehe 14/12/2011,mikutano kama hiyo itaendesha kwa kila wilaya,tarehe 21/12/2011,kila kata na tarehe 28/12/2011,kwa kila kijiji.Baada ya hapo,Chadema Taifa litawaelekeza nini cha kufanya wananchi hasa pale kama maoni yao hayatasikilizwa.Kikubwa zaidi,ni kwamba kama hakutakuwa na mabadiliko ya sheria hiyo katika kikao cha Bunge cha mwezi Januari/Februari,basi CHADEMA itasusia mchakato wa Katiba na People's Power itachukua mkondo wake.

hapo ndio patamu.....ki ukweli elimu ya uraia vijijini ni zero...watu hawajui katiba ni nini...watu hawajui siasa ya vyama vingi....watu mpaka sasa wanaamini wakichagua vyama vingine kinachofuata ni vita tu...ki ukweli katika ili tuhakikishe tunatekeleza..."GOD BLESS TANZANIA AND BLESS CHADEMA"
[/QUOTE]


kweli patamu kweli kweli
 
CCM kupitia serikali yao watatoa tamko la kukataza vikao kama ivyo VYOTE.
Uku wakijisahau kuwa kumbini hukutana pia watu wanaofanya maandalizi ya harusi
So kwa jinsi serikali ilivyo dis-organised watarevise na kusema vikao vyenye mlengo wa KISIASA
 
Kanyaga twende.

Wakitaka kutibua na kuona hasira za people wajifanye wanakataza vikao hivyo na huku ccm huwa wanakutana na kujadili jins yakulifiris taifa.
 
Good CHADEMA, kwa kweli nilikuwa sijachukua kadi sasa nimehamasika kuchukua kadi ya CHADEMA rasimi! Nasukumwa na strategies zinazofanywa na viongozi wa chama hiki dhidi ya wakoloni weusi CCM! Huwezi amini al shabab imekuja na mbinu mpya ya kuwaelimisha wananchi juu ya katiba! Nawasihi hakikisha mnapofika maeneo ya vijijini mnapiga lecture ya kueleweka maana huku bado kuna watu wanataabu kwelikweli lakini wanaiogopa CCM maana imewasurubu afya zikawa mgogoro na wamekuwa wazee si kiumri bali sababu ya viboko vy ccm, mkiwafungua macho hawa watu, taifa litakuwa limekomombolewa. Mijini watu wameishaelewa na wasingependa kuendelea kupata mikongoto ya CCM inayochapa mwili mzima bila kujali jicho, sikio wala kichwa, kazi bado iko uku vijini. Njooni mufike habari njema ya ukombozi dhidi ya wakoloni weusi kwa kutoa elimu ya uraia na katiba-silaha ya wananchi dhidi ya wezi na vibaka wa rasilimali za nchi!
 
Back
Top Bottom