GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Well done, haya ndio niliyokuwa nayasema na ww sasa wayasema, CDM wamemuua huyu kijana ila kupata umaarufu wa kisiasa , na sasa mwataka kutumia msiba kama forum ya kisiasa, nashukuruku kwa kunielewaIkiwa mkutano umehairishwa kwasababu ya msiba,.. ita "hold water" zaidi lakini kupisha zoezi la sensa..Mhh hapana!!...
Damu ya Ally Zona imemwagika katika mazingira ya harakati za kupigania utu na demokrasia katika ardhi ya MAIGIZO ya Demokrasia na haki...Kitendo cha kuipuuza na kuendelea na operation kitatoa picha ya tofauti juu ya lengo hasa la Operation M4C!!..
Ikiwa CDM watapostpon ziara ya Iringa hata kwa wiki zaidi,..ntaendelea kuwaamini zaidi.Maana ninaujua umuhimu wa kujenga Imani hapa Morogoro miongoni mwa mioyo ya watu hapa,..Kwanza hii ilikua ngome imara ya CCM kwa wakati wote (kabla ya mwezi uliopita)..Wakati Iringa Imeshakombolewa ni sehemu ndogo tu imebakia,.ambayo hata Rev Msigwa na Abwao wanaweza kumalizia,.Tusiwe na haraka huku tukiacha hawa wenzetu tuliotoka kuwakomboa wakiwa njia panda!!..
Makamanda naomba Tubaki hapa Moro,.Tuwape Moyo wa Kusonga mbele na utayari wa kupigania haki hata kwa damu yetu wenyewe...Tuwaondoe woga, wachache wanaonesha hali ya kutaka kukata tamaa,.Tuwashike mkono twende nao!!