OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
nape hujui kama ni mkiristo? wakiristo wote ni lao moja. angalia hapa JF tu
Hii ni kauli ya CCM unaihusisha vipi na ukristo? pamoja na kuvunja na kuchoma makanisa na kuiba mali za makanisa huko Zanzibar uliwahi kusikia kiongozi yoyote wa kanisa akiwatukana Uamsho kwa kuwaita wezi au majambazi? Je Nape ni kiongozi wa kanisa? hapana sasa pambaneni na CCM na Nape acheni wakristu! Najua mnatafuta kwa dhati sana ugomvi na wakristu lakini hamtaupata maana sisi mungu wetu sio wa visasi wala jihad! Tumeamriwa tusamehe saba mara sabini na mtu akikupiga kofi kulia mgeuzie na kushoto!