Mkutano wa CCM Jangwani: Nape anawatukana UAMSHO na kuwaita Wezi wakubwa na Majambazi...

Status
Not open for further replies.
Katibu mwenezi wa ccm leo ktk viwanja vya jangwani amesema uamsho wote ni kikundi cha majambazi hivyo anaiagiza serikali ya ccm iwashughurikie kama majambazi wengine.
my take,inamaana IGP na NCHIMBI walikuwa wanapatanisha na majambazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom