Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Mlm Nyerere nae asisahaulike ktk hili yeye nae anabeba lawama ktk maozo yote haya yanayoikumba nchi yetu leo, ingawaje hatupo nae tena.
Miaka 20 na ushee imepita yaani wewe bado unamlaumu Mwalimu? Yaani marais wote waliokuja na wabunge watunga sheria wote hadi awamu hii hawawezi kubadili hizo sheria kisa mwalimu. Absolutely stupid.