bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
Kalazimishwa kukanusha uamuzi wake wa Jana. Habari za ndani zadai kuwa serikali itafikiria maoni yake na kuwa wale jamaa wa Tanga cement washalipa gharama zote za wizi wa umeme.
Aliamua kujiuzulu baada kulazimishwa arudishe umeme kiwanda cha cement tanga. Simba cement walikutwa wanakwiba umeme, kisha walipokuwa invoiced wakakataa kulipa. yasemekana pale kuna 2 kaburuz ambao walishawahi fanya kazi tanesco kipindi cha netgroup. wao ndio walioleta jeuri ya kugoma kulipa.
pia ikumbukwe kuwa idriss ana bifu na kazaura (Board chairperson) baada ya kumtimua ofisini Tanesco na kumnyima pesa za kuendeshea ofisi hiyo. Habari toka ndani TANESCO zinadai kuwa mwenyekiti huyo wa board kipindi cha netgroup alipewa ofisi ya kudumu ktk jengo la TANESCO la mjini na ofisi yake ambayo ilijengwa kwa garama kubwa ilikuwa inapewa Sh 1 milion kila mwezi kama gharama za uendeshaji. Idriss aligoma na akamtaka aondoke, kwani yeye sio mtendaji wa tanesco na hapaswi kuwa na ofisi ya kudumu.
Aliamua kujiuzulu baada kulazimishwa arudishe umeme kiwanda cha cement tanga. Simba cement walikutwa wanakwiba umeme, kisha walipokuwa invoiced wakakataa kulipa. yasemekana pale kuna 2 kaburuz ambao walishawahi fanya kazi tanesco kipindi cha netgroup. wao ndio walioleta jeuri ya kugoma kulipa.
pia ikumbukwe kuwa idriss ana bifu na kazaura (Board chairperson) baada ya kumtimua ofisini Tanesco na kumnyima pesa za kuendeshea ofisi hiyo. Habari toka ndani TANESCO zinadai kuwa mwenyekiti huyo wa board kipindi cha netgroup alipewa ofisi ya kudumu ktk jengo la TANESCO la mjini na ofisi yake ambayo ilijengwa kwa garama kubwa ilikuwa inapewa Sh 1 milion kila mwezi kama gharama za uendeshaji. Idriss aligoma na akamtaka aondoke, kwani yeye sio mtendaji wa tanesco na hapaswi kuwa na ofisi ya kudumu.