MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi. Wakati umefika sasa wa kufanya Maamuzi Magumu ya KUIGAWANYA TANESCO. Tumekuwa tunawabadilisha MAWAZIRI WAKURUGENZI na BODI lakini MATATIZO ya TANESCO yapo pale pale na hiyo inaashiria kuwa Uongozi sio tatizo.Tatizo la TANESCO ni UKUBWA wa Shirika kinachotakiwa ni KULIGAWANYA SHIRIKA ktk Makundi yafuatayo:
1.Tanesco Nguzo na kusambaza Nyaya
2 Tanesco Mabwawa na kutafuta Vyanzo vipya.
3 Tanesco Uza umeme na Funga Mita.
Kila kundi liwe na Mkurugenzi wao ila Mwisho wa siku wanatoa Taarifa kwa Mkurugenzi mkuu wa Tanesco.
Kufanya hivi kutaondoa UKIRITIMBA uliopo ndani ya Shirika Rushwa ucheleweshwaji wa Makusudi wa Kutoa huduma utapungua kwani kila KUNDI litakuwa linajitahidi kutoa HUDUMA Mapema ili kuingiza MAPATO yake tofauti na Sasa Ukitaka Umeme mara uambiwe Nguzo hakuna Mita zimeisha au Nyaya hakuna.
1.Tanesco Nguzo na kusambaza Nyaya
2 Tanesco Mabwawa na kutafuta Vyanzo vipya.
3 Tanesco Uza umeme na Funga Mita.
Kila kundi liwe na Mkurugenzi wao ila Mwisho wa siku wanatoa Taarifa kwa Mkurugenzi mkuu wa Tanesco.
Kufanya hivi kutaondoa UKIRITIMBA uliopo ndani ya Shirika Rushwa ucheleweshwaji wa Makusudi wa Kutoa huduma utapungua kwani kila KUNDI litakuwa linajitahidi kutoa HUDUMA Mapema ili kuingiza MAPATO yake tofauti na Sasa Ukitaka Umeme mara uambiwe Nguzo hakuna Mita zimeisha au Nyaya hakuna.