Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
TANZANIA imejaliwa kwa beautifull woman,lakini tukienda na mambo ya percentage,west lake haina mpinzani-wahaya bana we acha tu
Wewe mchaga nini? ha ha
Ila ni kweli sanasana sura na maumbo ya miamvuli!..
Kwani Wachaga akina dada wapo warembo? Au ni mahiri tu wa kutafuta pesa na mapenzi ni sekondari agenda?
Wachagga hawajitumi kwenye mchezo wa wakubwa...
Hapo ndio nachoka kabisa na JF!!!
Huyu mtu sio mzinifu lakini hao wote anavyoongea ni kama keshamaliza madiirii ya ngono... anyway kila kitu kina scale yake, labda bwana chimo scale yako ya uzinifu ni kubwa sana
Kaizer!
Ukiacha muonekano wa nje,wanawake wa kichaga ni wajanja sana na wanajua kuhangaikia maisha. Wanaweza kuwa hawajui mamboz lakini akili na juhudi za kujituma kimaisha wanazo.
Hivyo ndo nionavyo mie labda kwanini wakubwa wengi wanaoa huko.
Belinda, nasikia siku hizi 'wameimprove' (binafsi sijawahi 'kutembea' na mchaga) so ukijumlisha hilo na hizo sifa nyingine utakuta overall wapo juu ya wengine au?
Nina marafiki wengi wachaga, sema tatizo wewe umeshasema uko booked utani kaizer
Du not worry yuko booked lakini hes always available....mlengeshe tu Kaizer ajisuuze!
Hapana! lazima awe na msimamo au siyo?! Asije kuchanganyikiwa bureee
Jamaa hawezi changanyikiwa si unaona jina lake tu...Nshomile, wasi wasi dada wa kichaga asije pagawa maana jamaa lazima atapractise Katerelo!! lol
...Hakuna mkoa wa Bukoba Tanzania hii mkuu...wasichana wazuri ni mtazamo wako mkuu lakini huwezi ku-generalize kuwa mkoa fulani unawasichana wazuri...............Rafiki yangu amenidokeza kuwa katika Tanzania mkoa ambao wasichana wanakuwa wanavutia ni Bukoba eti alisema karibuni kila utakaemuona ana figure 8 na huchoki kumtazama ,kwa kweli alikuwa na fikra tofauti na za kwangu mimi nilifikiria ni Kondoa Irangi ,ambapo kuna wasichana waliochanganya asili na wajerumani.
Ameweka uzungu kule uhayani wanaitwa Kaiza amebadili kidogo Kaizer...,wengine Ngaiza uzungu wanajiiter Ngaizer
Inawezekana kabisa maana wanasakamwa sana kuwa shughuli hawaiwezi ila naamini kwa hii michanganyiko ya makabila na kuishi mazingira tofauti lazima kuna wanaoweza vizuri tu.
Labda kama sijui ufundi upi zaidi wanaume wanaoutaka ila si mnafundishana na mkijifunza mara kwa mara mnakuwa wazoefu! huh!
Pia kwa sifa niliyokwambia ambayo ni ya ndani kwahiyo ukichanganya na nyingine wanakuwa juu sema kila mwanaume ana 'taste and preference' zake unapotaka kutoka/kuoa mwanamke.
Nina marafiki wengi wachaga, sema tatizo wewe umeshasema uko booked utani kaizer
Du not worry yuko booked lakini hes always available....mlengeshe tu Kaizer ajisuuze!
Jamaa hawezi changanyikiwa si unaona jina lake tu...Nshomile, wasi wasi dada wa kichaga asije pagawa maana jamaa lazima atapractise Katerelo!! lol
Du! mambo ya swanglish hayo!Thanx kwa kunielewesha..
Naona umesifia sana wadada wa mkoa wenu sukuma land safi sana,ni ma-giant kweli kweli...
Huo ugiant wao usiku unaweza kufa kwa kukosa pumzi si unajua tena mambo yetu yaleeeee....
kumbe kaizer ni muhaya, sikujua asili ya hili jina!..nilijua jina la kidhungu. Namsikilizia hajanijibu nilitaka aone wachaga wakoje zaidi ya hapo
Hahahahahah you guyz spare my ribs.......kwani mambo yaleeee na wewe ni mwanachama? kwi kwi kwi