Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Chimo yeye katembelea mikoa yote. Jamani naomba kuuliza swali. Hivi wanaume wanapenda nini sana toka kwa wanawake? hasa unapochagua mchumba? Nafikiri tunatofautina sana kila kitu.
Wanawake tuna tabia ya kuangalia hela, Uhandsome, kitu kinaitwa tabia hatuna muda nacho kwa sababu tunakwua an target zetu.
Sasa katika hali yakawaida tunapenda nini kwa wenza wetu. Unaposema huyu kwenye mavituuz hawezi una maana gani? Mimi kabla sijafanya tendo hilo huwa naulilza mtu anapenda vitu gani, ili kama sijui nipate shule kidogo then nifanye vile unavyopenda. Si wote tunajua haya mambo, tunatofautina. Na kutokuwa wawazi ukataka kufikiri najua ndiyo maana hata ladha haipo. Tuelimishane na kufundishana kabla ya game ili turidhike, usibwete eti najua.
Wanawake tuna tabia ya kuangalia hela, Uhandsome, kitu kinaitwa tabia hatuna muda nacho kwa sababu tunakwua an target zetu.
Sasa katika hali yakawaida tunapenda nini kwa wenza wetu. Unaposema huyu kwenye mavituuz hawezi una maana gani? Mimi kabla sijafanya tendo hilo huwa naulilza mtu anapenda vitu gani, ili kama sijui nipate shule kidogo then nifanye vile unavyopenda. Si wote tunajua haya mambo, tunatofautina. Na kutokuwa wawazi ukataka kufikiri najua ndiyo maana hata ladha haipo. Tuelimishane na kufundishana kabla ya game ili turidhike, usibwete eti najua.