Mkoa gani mzuri wa kuanzia life hapa bongo?

Lindi na mtwara


Mkuu umeshawahi kuishi mikoa hiyo?Asikudanganye mtu maisha yapo juu sana huko,nina ndugu yangu anaishi huko hali ni ngumu sana vyakula vinauzwa bei aghali sana kuliko hata Dar es salaam,malazi usiguse Mtwara mjini kwasasa tangu vyuo vimejengwa na makampuni ya gesi kufunguliwa!!Senetor Nakushauri Morogoro,Mwanza,Mbeya na Rukwa ndiyo maisha yapo cheap so chagua katina ya hiyo mikoa!
 
kwa ushauri wangu kakae Morogoro nikiwa na maana chakula sio tatizo na usafiri sio tatizo chumba inategemea unataka maisha ya aina ngani
 
Wadau wa MMU,naomba kuuliza,ivi hapa tanzania ni mkoa gani mzuri ambao atleast life liko cheap,ambapo mtu anae anza maisha let say na salary ya kuanzia 400k-600k anaweza kusurvive?
Ushajua utapangiwa mko upi mangi kikazi?
Hiyo salary inatosha kubadilisha mboga tu kwa mkoa wa Arusha.
 
Siwez comment unless umeweka hadharani vitu ambavyo unataka viwepo uko unakotaka uende kuishi!
Is it cost of living,cost of living,good infrastructures,starehe kwa wingi etc

Mbona tayari umesha comment
 
Back
Top Bottom