Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
- Thread starter
- #21
Wakuu kuna watu wanajaribu sana kuisema Arusha kuwa maisha ya hapa yako juu
Ni kweli kuwa maisha ya hapa yako juu ila sio kihivyo sana
Ni namna ya kwako ya kuishi na kujipanga
Kweli maisha yako juu ila ukijipanga mambo yanaenda tuu
mkuu,arusha tuna investments zetu huko so mara nying napatembeleaga..napajua vzr,vitu viko ghali sana,huwezi pata rum ya maana chini ya buku 80.