Hii ni nomare😅😅😅We unachekesha Mwanamke akiamua kuvumilia udhaifu wa Mwanaume anavumilia na akiamua kuacha hata utumie malaika harudi tukishapenda sehemu nyingine kurudi ni ngumu.
We acha usumbufu!Habari wakuu wa kaya. Iigweee
Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.
Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. AMEGOMA KUNISAMEHE AMEONDOKA, NAUMIA KUWAZA KUNA MWANAMME ANAWEZA KUMMLIKI.
Msinishauri nijikaze,siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi.
Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.
Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.
Mtakaotukana tukaneni tu. Nahitaji njia za kumrudisha. Yupo kwao
Sio yule Carlos de nan sijuiJokajeusi yamekukuta tayari,we rud na Id yako ile tuliokuzoea nayo ambayo kutwa kucha ni kuwasema ambao hawajaoa bikra
Kwa nini asimroge ? Tukiwakimbia si huwa mnashauriana hivyo🤣Umemkosea nini?
Achana nae mbona wanawake ni wengine tu, piga chini (walisikika wakulungwa wa JF wakiongea)
Ka vipi amroge 😂😂😂Kwa nini asimroge ? Tukiwakimbia si huwa mnashauriana hivyo🤣
Nikupe Siri moja ndogo sana mwanamke huwa haingii kwenye mahusiano kama mwanaume, mwanamke anasikiliza hisia zake za ndani ili aweze kumkubali na kumpenda mtu ivyo nenda taratibu ukimuachia nafasi ajitafakari jitahidi kumuanyesha umejuta na yeye kwako ni wa dhamani sana
Umemfanyaje?.Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?
Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.
Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Umemkosea nini kaka?mwanamke akichukia si rahisi kurudi nyumaHuu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?
Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.
Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Not very likely.Vuta subira tu mzee.. Hata yeye huko aliko, ndani ya miezi mitatu atakuwa ameteseka na kutokuwepo kwako---Sema atajidai dai kukaza, we utampotezea kidogo----Then atajileta.
As long as una watoto, hakuna la kuogopa. Labda kama yeye ndo main provider wa ndani ya nyumba yako, ikiwa hivi i can not guarrantee cz psycholojia ya hawa dada zangu wanaijua wenyewe wakiyapatia maisha.
Pole aiseeh.Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?
Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.
Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Umemkosea nini?
Achana nae mbona wanawake ni wengine tu, piga chini (walisikika wakulungwa wa JF wakiongea)
Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?
Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.
Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Wanaume kwa sasa wana wakati mgumu sana, ni kupigwa matukio na kupigwa moto.Hii rate ya wanaume kulalamikia wanawake humu jamvini inazidi kuongezeka kila kukicha.
Wanaume kwa sasa wana wakati mgumu sana, ni kupigwa matukio na kupigwa moto.
Halafu baadae kuna mtu ataleta thread eti anauliza "kwanini wanaume hutangulia kudanja"kazi iendelee, naona kibao kimewageukia. Huku utasikia mke wangu kanisaliti, hatujakaa sawa mwingine kadakwa anachoma nyumba ya ex boyfriend. Hatujatulia huku mwingine mke kasepa home basi inakua tafrani tupu.
sasa tusipo cheat huo msamiati kuchit utatumikaje. basi waufute tuTatizo mnakuwa wapumbavu sana una cheat vipi mpka unashikwa
Huyu n Joka mkuu,juz kaja na sired kapasuliwa mingumi na pepo guest hadi kukaribia kukata moto,naona wife kaujua ukwel kafanya maamuzi magumSio yule Carlos de nan sijui
Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezkani
Siku hizi tunaacha hata tulioishi nao miaka 15.Mwanamke uliye ishi nae kwa muda wa miaka saba hawezi kukuacha kirahisi hisi hata kama unemkosea vp,kama umetumia mbinu zote kumrudisha imeshindikana wewe jua tu hakua na mapenzi na wewe kabisa!