Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Mwanaume kaza, mwanaune unalialia hivyo!
Na kwa wanawake ukishajililisha hivyo ndo umejiingiza kwenye tanuli. Akirudi tegemea kugongewa afu utaomba msamaha wewe.
 
Habari wakuu wa kaya. Iigweee

Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.

Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. AMEGOMA KUNISAMEHE AMEONDOKA, NAUMIA KUWAZA KUNA MWANAMME ANAWEZA KUMMLIKI.

Msinishauri nijikaze,siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi.

Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.

Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.

Mtakaotukana tukaneni tu. Nahitaji njia za kumrudisha. Yupo kwao
We acha usumbufu!

Mwanamke akishakuchoka huwa harudi nyuma hata awe anakupenda vipii! Tatizo letu mnafanyaga mbwembwe wakati hamuwezi kuvumilia upweke! Kashasepa huyo na analiwa vizuri mda huu. We pambana na hali yako tu!
 
Nikupe Siri moja ndogo sana mwanamke huwa haingii kwenye mahusiano kama mwanaume, mwanamke anasikiliza hisia zake za ndani ili aweze kumkubali na kumpenda mtu ivyo nenda taratibu ukimuachia nafasi ajitafakari jitahidi kumuanyesha umejuta na yeye kwako ni wa dhamani sana


Ni sawa kwa upande fulani lakini inategemea na status yake ya mahusiano.
Hiyo itahold tu provided kama alikuwa na mume wake tu .
Iwapo alishakuwa na mtu au watu kabla ya matengano ni rahisi kuendelea nayo kwa ukaribu zaidi.
Au iwapo kama kulikuwa na watu au mtu anamfukuzia na kumuimbisha ni rahisi sasa kujiweka karibu zaidi kimahusiano.
 
Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?

Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.

Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Umemfanyaje?.

tunashindwa kushauri
 
Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?

Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.

Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Umemkosea nini kaka?mwanamke akichukia si rahisi kurudi nyuma
 
Vuta subira tu mzee.. Hata yeye huko aliko, ndani ya miezi mitatu atakuwa ameteseka na kutokuwepo kwako---Sema atajidai dai kukaza, we utampotezea kidogo----Then atajileta.

As long as una watoto, hakuna la kuogopa. Labda kama yeye ndo main provider wa ndani ya nyumba yako, ikiwa hivi i can not guarrantee cz psycholojia ya hawa dada zangu wanaijua wenyewe wakiyapatia maisha.
Not very likely.
 
Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?

Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.

Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????
Pole aiseeh.
Most likely hatarudi.
 
Huu ni mwezi wa pili tayari hana dalili kabisa ya kurudi tena ninamjua vizuri. Nani anampa sexual needs zake miezi miwili hii?

Watoto kanipa uhuru niwaone ila namtaka na yeye. Provider ni mimi mkuu ila ana kazi yake,anaweza kuishi.

Ninatuma hela anarudisha. Nyumba nimejenga mimi ila ni yetu sababu leo sipo wakukaa ni yeye na watoto. Hajawahi kukasirika hivi. Nifanye nini?????

Mwanamke ni mvumilivu mno, lakini akifikia point of no return ni ngumu mno kumshawishi arudishe majeshi.
 
kazi iendelee, naona kibao kimewageukia. Huku utasikia mke wangu kanisaliti, hatujakaa sawa mwingine kadakwa anachoma nyumba ya ex boyfriend. Hatujatulia huku mwingine mke kasepa home basi inakua tafrani tupu.
Halafu baadae kuna mtu ataleta thread eti anauliza "kwanini wanaume hutangulia kudanja"
 
Yani wanapi
Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezkani

Mwanamke uliye ishi nae kwa muda wa miaka saba hawezi kukuacha kirahisi hisi hata kama unemkosea vp,kama umetumia mbinu zote kumrudisha imeshindikana wewe jua tu hakua na mapenzi na wewe kabisa!
Siku hizi tunaacha hata tulioishi nao miaka 15.

20 maybe.
Usijiaminishe sana
 
Back
Top Bottom