Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,780
Aisee, kumbe ndoani ni pagumu. Kama mambo yenyewe ndio haya, basi nitaoa mwaka kesho kutwa. Kweli mke wa ndoa unaingia ndani saa 9 usiku ukiwa na rafiki yako mumelewa chakari, plus bodaboda wenu pembeni!!!? Mnategemea mlale kwa nani!!?
Nawasikia wanabisha mlango hili mwanaume awafungulie😂 Na akiwafungulia, basi atakuwa mwanaume jalala. Yaani hii ya leo kali, baba kaamua kuwafungia komeo mama na mtoto, mama karudi saa 9 kakuta lock, binti aliingia saa 5 kakutana na athumani mfupi mlangoni. Hii vita atawapigania Mola baba. Kwa jeuri wamefungua ka glocery ka dharura hapo nje. Ila wanawake ni pasua kichwa kwa kweli
Nawasikia wanabisha mlango hili mwanaume awafungulie😂 Na akiwafungulia, basi atakuwa mwanaume jalala. Yaani hii ya leo kali, baba kaamua kuwafungia komeo mama na mtoto, mama karudi saa 9 kakuta lock, binti aliingia saa 5 kakutana na athumani mfupi mlangoni. Hii vita atawapigania Mola baba. Kwa jeuri wamefungua ka glocery ka dharura hapo nje. Ila wanawake ni pasua kichwa kwa kweli