- Thread starter
- #41
Kabisa aisee!Ubaya wa single mother. Single mother siku zote atakuona zoba.
Kabisa aisee!Ubaya wa single mother. Single mother siku zote atakuona zoba.
Ahsante mkuu, umeongea vema kabisa!!Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki
Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe
Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI
Kwa hiyo unaweza kumvumilia mke kicheche (malaya), muongo, ana roho mbaya au mshirikina (mchawi) lakini mwizi tu ndio huwezi kumvumilia?Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki
Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe
Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI
Hebu kuwa serious kidogo bhana. Hivi hilo ni kosa la kushadadia kuachwa mtu kweli?. Mshauri yafuatayo huyo jamaa Yako:-Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.
Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.
Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.
Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.
Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Atamuacha mke wake aje akuoe wewe. Shauri yako
Wewe WhoWeBe na huyo jamaa yako ambaye ni wewe mwenyewe kupitia mgongo wa jamaa yako just go & check up on your mental health! How come Miamala ya 10,000/= mara mbili kwa mwezi ( a total of 20,000/=) na muda wa maongezi 2,000/= kila siku ( a total of 60,000/=) kwa mke wako kujitumia unakuja ku-raise issue hapa JF To The Home of GT! This is so disrespectful indeed!
Sijamfuata, kanifuata nyumbani. Sijawahi na sitowahi kuyafuatilia maisha yao kwani sina sababu. Mi nimeshauri nilivyoona, kuuchukua ushauri au kutouchukua hilo lipo juu yake na nimemwambia kabisa kuwa I don't give a dam.....nitaendelea na shughuli zangu kama kawaida
Busara iwaongoze wewe na jamaa yako.Mtu alikuwa anachukua bila ruhusa kwenye mfuko wake mwenyewe.Kazi ni kwenu.Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.
Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.
Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.
Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.
Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Wanaume wengi wanaibiwaga sana na wake zao.
Wanaume wengi ni wasahaulifu.
Hata akiibiwa ni ngumu kugundua.
Kuishi na mtoto wa mama mkwe hakuhitaji ukurupukaji na haraka ya hivyo.Mwishowe mtakuja kuoa vimbwenerehi.Tunataka tuuone ukubwa wenu kwa vitendo.Tuthibitishieni kwamba mmekua kimwili na kiakili.Naunga mkono hoja AMWACHE HARAKA SANA Kama Ana uwezo huo wa kuiba ipo siku Atampiga tukio kubwa
Issue ni wizi, haijalishi anaiba wapiBusara iwaongoze wewe na jamaa yako.Mtu alikuwa anachukua bila ruhusa kwenye mfuko wake mwenyewe.Kazi ni kwenu.
SWALI LA KIPUUZI:
-Vipi kama huyo mwanamke angekamatwa anaiba nyumba ya jirani?
Kama kuzuia ujambazi ni uvulana basi Acha niwe mvulana milele!!Hawa watakua ni wavulana. Wanaume wengi wa siku hizi ni wavulana. Wasamehewe bure.
Hapana amkanye tu mbona case ndogo hiyo je angeshepuka ingekuwaje kama maamuzi ndio hayooBaada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.
Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.
Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.
Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.
Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!