Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki

Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe

Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI
Ahsante mkuu, umeongea vema kabisa!!
 
Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki

Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe

Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI
Kwa hiyo unaweza kumvumilia mke kicheche (malaya), muongo, ana roho mbaya au mshirikina (mchawi) lakini mwizi tu ndio huwezi kumvumilia?

Mi bana tabia yoyote katika hizo hapo juu napiga chini tu, potelea pote. Naweza samehe labda mchafu au hajui kupika. Najua impact yake sio kubwa na twaweza kurekebishana.
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Hebu kuwa serious kidogo bhana. Hivi hilo ni kosa la kushadadia kuachwa mtu kweli?. Mshauri yafuatayo huyo jamaa Yako:-
1) ampe namba za Siri zote za benki na mitandao ya sim na ampe ruhusa ya kujitumia akiwa na shida.
2) ampe Hela ya matumizi yake ya kila siku huwezi niaminisha kuwa jamaa eti anamtunza wife wake, na wife anaiba buku LA vocha acha masihara bhana.
3) kama Kuna Hela ya watu imeingia au yeye siku hiyo Hana Hela amwambie mkewe na uzuri wa Hawa viumbe ukiwajali tu waelewa sana
4) waweke malengo ya pamoja na mkewe Ili mkewe ajue haya. Hela iliyopo inamatumizi hii. Hili litasaidia kupunguza mke kuwa anauhitaji wa matumizi binafsi wakati anajua Kuna hili litatusaidia wote.
 
Wewe WhoWeBe na huyo jamaa yako ambaye ni wewe mwenyewe kupitia mgongo wa jamaa yako just go & check up on your mental health! How come Miamala ya 10,000/= mara mbili kwa mwezi ( a total of 20,000/=) na muda wa maongezi 2,000/= kila siku ( a total of 60,000/=) kwa mke wako kujitumia unakuja ku-raise issue hapa JF To The Home of GT! This is so disrespectful indeed!

Hawa watakua ni wavulana. Wanaume wengi wa siku hizi ni wavulana. Wasamehewe bure.
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Busara iwaongoze wewe na jamaa yako.Mtu alikuwa anachukua bila ruhusa kwenye mfuko wake mwenyewe.Kazi ni kwenu.
SWALI LA KIPUUZI:
-Vipi kama huyo mwanamke angekamatwa anaiba nyumba ya jirani?
 
Mke mwizi wa pesa ndogo ndogo haachwi , kwa upande wangu hizo uamuz huo utakuw wa chin kabsa ambao utagharmu future ya watoto

Labda amuache kwakuw alimkuta kashanzaa nje
 
Unamwambia amwache Mke wake wakati wewe Mke wako upo nae na matatizo ya wanawake hayajatofautiana ni vile haujajua tuu mkia wake kauficha chini roho za kibongo hizo mwambie huyo muhuni ampe hela ya Vocha mke wake kuacha mke kwa sababu ya Vocha aisee ujue hakuna ndoa hapo ni Somali life vita vita tuu...
 
Uzi huu utapelekea Siri nyingi za kambi kujulikana kwa wanaume.

Wake wengi huwaibia wanaume zao hela.

Na wanaume ni wadhaifu kwenye kutunza Na kukumbuka.

Ni wasaulifu sana.

Tena kwa Mwanaume mlevi Ndiyo kabisaaa

Wake wengi ni majambazi .

Wengine hadi anajenga kwa Siri kwa kumuibia mumewe
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Hapana amkanye tu mbona case ndogo hiyo je angeshepuka ingekuwaje kama maamuzi ndio hayoo
 
Back
Top Bottom