Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki

Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe

Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI

ukigongewa utavumilia au
 
Wewe WhoWeBe na huyo jamaa yako ambaye ni wewe mwenyewe kupitia mgongo wa jamaa yako just go & check up on your mental health! How come Miamala ya 10,000/= mara mbili kwa mwezi ( a total of 20,000/=) na muda wa maongezi 2,000/= kila siku ( a total of 60,000/=) kwa mke wako kujitumia unakuja ku-raise issue hapa JF To The Home of GT! This is so disrespectful indeed!
 
Baada ya mume kupatana na mkewe kama nakuona sura Yako 😥
Ugomvi wa mke na mume hauingiliwi by the way hiyo issue ni mdogo rahisi kuirekebisha
Sijamfuata, kanifuata nyumbani. Sijawahi na sitowahi kuyafuatilia maisha yao kwani sina sababu. Mi nimeshauri nilivyoona, kuuchukua ushauri au kutouchukua hilo lipo juu yake na nimemwambia kabisa kuwa I don't give a dam.....nitaendelea na shughuli zangu kama kawaida
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!



Wanaume wengi wanaibiwaga sana na wake zao.

Wanaume wengi ni wasahaulifu.

Hata akiibiwa ni ngumu kugundua.
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Dah Wanaume tutafute hela.
Yaani amuache mke kwa 45,000

Manake kwanza ncheke.

Nlidhani anamuacha coz anachapiwa kumbe kujirushi hela.
 
Back
Top Bottom