Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? ox
Tatizo lako ni kuwa, hujui kuwa Population ya watu milioni 45 Tanzania inasumbuliwa na mtu mmoja tu, ambaye ni Kikwete.
Na Kwa sababu iyo hiyo ndo mana hao watu mil45 wamesahaulika anajadiliwa mkombozi wa afya ya watanzania mil45.
Funguka.
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Wakati unajishau kuwa jamaa ni wa kawaida in one aspect, umesahau ktk aspect ya pili yeye ni kiongozi wa watu muhimu, katika nchi isiyo na solution kwa lolote.Sasa sijui ntaongea na daktari gani?na mtamjua kiongozi ni nani?Ama serikali km iliamua kumwondoa ili wamweke mamluki wa kuja kuingia mikataba nao, wanahakika gani kuwa madaktari hawatomkataa?

Kibaya zaidi serikali imepoteza sana hapa hata km kuna mengi yatapita,ila wanachezea amani ya nchi vibaya.Na kunfanyia hivyo raia wamerudi upande wake.Kwa taarifa yako tena si polisi tuu hata raisi ilimpasa kuongelea hili

Hao ndio makomndoo wetu mnaowasifia, na kazi yao ndio hii ya kutaka ua kizembe hivi?
 
Na Upuuuuzi Kung'ang'ania iundwe tume...zitaundwa tume ngapi ..? Wakati. Wa Ukweli utafika Tusijichose kutoa povu kuna watu kazi yao ni kutuletea Majibu, tuna ndugu wengi na. Jamaa wameteswa na hata kuuawa pasi jua chanzo tukasubir tukajua

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Maranyingi mswahili afi na akifa basi kalogwa kila jambo baya likitokea ni la serikari inausika mazuri yote ni ya CDM
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

You are still in the box try hard to get out plz...

TZ sio banana republic eeh ?
1.hebu tuambie sheria mliyotumia kuzidisha bei ya manunuzi ya rada hadi mkarudishiwa Chenji
2.Kuna ambao hamjawashughulikia ili muwatumie kama kinga kwa wengine mkiwashughulikia,kwa kusema bona fulani hatujamshughulikia,kwa akili yako ya kufikiri nje ya box,nini athari ya huyo ambaye hamjamshughulikia kwa mustakabali wa utawala wenu?

Hata kama ni msumbufu kiasi gani hana athari kwenye 'comfort zone' yenu, swala la madaktari na mgomo wao lina athari kubwa sana,si kwa kuwa madaktari ni muhimu sana lah,bali ni kutokana na ukweli wa madai yao, kwamba hata hospital ya taifa haina baadhi ya vifaa tiba muhimu kabisa kwa afya ya msingi ya watanzania,wagonjwa wanalazwa sakafuni huku viongozi wakiendeleza anasa,yote hayo yanahatarisha mustakabli wa watawala kuendelea kufaidi keki ya taifa,kuliko huyu anayehangaika na mahakama ya kadhi sijui na waislam kuhesabiwa.

AMKA...
 
Na si haki pia kuilaumu serikali bila ya kuwa na ushahidi kuwa serikali ndio imefanya hivyo

si haki hata kidogo

Jitahidi kuwa mtu wa kufikiri ndugu, pamoja na chenji ya rada kurudishwa hakuna ushahidi kuwa kuna viongozi wali 'inflate' bei ya rada, kwa hiyo serikali isilaumiwe, hakika kuna great sinkers wengi humu jamvini,kukosekana kwa ushahidi wa serikali kuhusika sio ushahidi kuwa serikali haikuhusika,wewe lete hoja za kuthibitisha kuwa serikali haihusiki sio kutegemea kukosekana kwa ushahidi,umeambiwa SMG ilitumika wakati wa kumteka,SMG zinamilikiwa na serikali tu,bado unaona shida serikali ikihusishwa...keep it up,labda kuna watu utawaconvice...
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

stupid.......!!!!!
 
Pasco bana, mbona hata professional snippers "sometimes" hufanya incomplete work? hivyo sio ajabu hao unaowaita "oparatives" wakawa wamefanya kazi incomplete kama ulivyosema. Halafu, ipo haja gani ya kuwa na hypothesis mingi hivi zinazozunguka zunguka mbali na ukweli wakati Dr Ulimboka mwenyewe amenukuliwa na media akielezea kilichomkuta?

Kwa jinsi mnavyotumia "great thinking" yenu vibaya ndio maana sishangai Mh Kikwete aliposema haelewi kwa nini Watanzania ni masikini
 
Pasco bana, mbona hata professional snippers "sometimes" hufanya incomplete work? hivyo sio ajabu hao unaowaita "oparatives" wakawa wamefanya kazi incomplete kama ulivyosema. Halafu, ipo haja gani ya kuwa na hypothesis mingi hivi zinazozunguka zunguka mbali na ukweli wakati Dr Ulimboka mwenyewe amenukuliwa na media akielezea kilichomkuta?

Kwa jinsi mnavyotumia "great thinking" yenu vibaya ndio maana sishangai Mh Kikwete aliposema haelewi kwa nini Watanzania ni masikini

Uovu hufisha maarifa. Siku zote mtu aliyezoea kula nyama ya mtu haachi.
 
Na si haki pia kuilaumu serikali bila ya kuwa na ushahidi kuwa serikali ndio imefanya hivyo

si haki hata kidogo

Sidhani kama huku ni kuilaumu Serikali ambayo mnaikingia kifua kama mmelipwa! TUNACHOFANYA NI KUISUSPECT kuwa ni mhusika wa kwanza kwani Mara ya Mwisho kabla hajatekwa Ulimboka alikua na TISS wenu..... Akatekwa mbele yenu TISS sasa saspect wa kwanza ni nani? Tume huru ichunguze na Tutajua baada ya Uchunguzi.

Kitu kingine ni kwamba, Kesi ya nyani huwezi kumpa Ngedere.,, Jeshi ni la polisi ambao tunawalaumu, sasa inakuaje anayehisiwa ndio achunguze? HANS ROGER DIBAGULA, naonekana unamachungu na serikali kuliko wananchi wanaoumia kwa mgomo.. Tunatamani Mgomo uishe sio kuuliwa kkwa watu, so kitendo cha kusema Ulimboka ni mtu wa kawaida kinaonesha hukuchukua nafasi ya kutosha kutafakarii.... Mungu awasaidie WATETEZI WA Serikali ya CCM...
 
Upo uwezekano kuna watz ama wamefiwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, au wapenzi. Kisa? 'madaktari wamegoma!' Mtu anajiuliza kulikoni? Anapewa ufafanuzi, 'madaktari wanawatakia mema na neema wagonjwa. Ikiwemo huduma bora!' Loooh jamaa hasira zinampanda zaidi. Anasoma magazeti na kufatilia habari anakuta kinara ni ulimboka. Ahaaa! Ngoja nimuonyeshe uchungu wa kufiwa. Je inawezekana?
Hilo hakuna kabisa, watukubali kabisa kudanganywa
 
Mbona msafara wa rais mnaupitsha na akifa mnapumzika kwani sio raia kama raia wengine? uwezo wako wa kufikiria uko ki ccm zaidi.
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

No analytical mind in here ......
 
Daaaaah!!!naomba kama kuna mtu anaeweza kunihakikishia Dr. Ulimboka hana maadui wengine zaidi ya Serikali aniambie hapa then ntatoa comments...kama mimi ningekua adui wa ulimboka na ninataka nimfanye mbaya nafikiri hiki kilikua kipindi kizuri kumfanya chochote.

Nashindwa kutoa comments kwa kufuata mawazo ya watu wengine,au labda badae kidogo naweza kusema kuhusu Dr.Ulimboka!
 
NO way Serikali haiwezi kusafishika kwa maneno yako machache ambayo hayana ushawishi kwa mtu mwenye akili ya kutafakari mobie nzima ilivyokwenda na ikaparanganywa na Mungu mwenyewe. Mungu ndiye mtetezi wa kila mtu na hata hili la Ulimboka ni Mungu ameliingilia.
 
dr ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa jamii forums namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina issa ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya dr ulimboka. Wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

wee nyau kama huna cha kuandika kaa kimya kenge wee
 
Daaaaah!!!naomba kama kuna mtu anaeweza kunihakikishia Dr. Ulimboka hana maadui wengine zaidi ya Serikali aniambie hapa then ntatoa comments...kama mimi ningekua adui wa ulimboka na ninataka nimfanye mbaya nafikiri hiki kilikua kipindi kizuri kumfanya chochote....Nashindwa kutoa comments kwa kufuata mawazo ya watu wengine,au labda badae kidogo naweza kusema kuhusu Dr.Ulimboka!!!

Toa kikoment chako mchwara hapo juu... kwamba wewe unaweza sana kukoment kiasi kwamba huwezi kuchangia kwa wengine? Haya nasubiri kwa hamu kubwa comment yako... CCM weeeee!
 
Hivi ni kweli Polisi wetu hawajawahi kutesa na kuua watu wasio na hatia hapa Tanzania? Na labda mpaka siku atakapoteswa au hata kuuawa kwa Ponda ndio tuamini? Bila ya shaka tunapoteza kumbukumbu kwa haraka sana. anayesubiri Ushahidi aendelee kusubiri, maana wanaofanya uchunguzi huo ni hao hao polisi.[/QUOTE. N kuna raia na raia maarufu ,Kama jinsi ilivyokuwa kwa Steven Kanumba sawa raia lakini maarufu,kwahiyo kwa Dr Ulimboka ni raia lakini maarufu,kumbuka ule msemo aw "let the famous people be praised" kwahiyo Ndio wote ni wanadamu lakini wapo wanadamu maarufu kwa Hali hiyo wao huenziwa ,mifano ipo mingi na huenda hili unalifamu lakini unaonekana wewe ni michosho tu unataka kuwachosha watu
:israel::israel:USIWE MICHOSHO:israel:
 
Back
Top Bottom