Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

Watu kama Dr.Ulimboka lazima watokee katika jamii yoyote,na Dr.siyo wakwanza wala wamwisho kutokea.Watu wa aina yake huzalisha makundi yenye mitazamo isiyo fanana.Mitazamo hiyo hutafsiriwa kwa kadiri kila kundi lilivyoguswa na tukio lililompata Dr. bila kuwasahau wagonjwa ambao ndiyo msingi wa sinema nzima.Hao wanao mkejeli leo sijui watendelea kukejeli siku serikali itakapotekeleza madai ya madaktari na watoto wao watakapokuwa wanafaidi jitihada za Kina Dr.na wenzake.
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box
.........mmh!!! kukaa kimya pia ni busara.......
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Umekurupuka kusema,
Hoja siyo kukamatwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka, Hoja hapa ni ukatili na kusudio la watekaji ndicho tunachokitazamia kichukuliwe hatua ili kisitokee tena, walikusudia kumuua Dr, ni wanyama hao wasio na utu, walistahili na wanastahili wajulikane ili jamii iwatambue kwakuwa haijawahi tokea katika nchi yetu tabia ya namna hiyo. Hatusemi kwamba anastahili yeye kuzungumziwa sana la! bali anastahili kuzungumziwa kwakuwa serikali haitaki kuchukua hatua ya kuwa inawakamata hao waliofanya unyama na kuwafikisha mahakamani.Tusiijengee tabia jamii kuwa na hofu juu ya maisha yao na kutokuwa na imani na serikali kwamba ukiisema serikali utaishia kutekwa na kuuwawa au kuondolewa viungo vya mwili wako kwa mateso na kuachilia pasipo kuchukua hatua hapana!
Serikali iwe makini na mambo yanayojitokeza kama hili kuyakemea na kuyachukulia hatua haraka ili kuziba mianya ya wengine kuyafanya kama walivyofanya kwa RPC Barlow ndivyo tunavyotamani mambo yaende hivyo kwa speed lakini tukitamka kulaani na kuwakamata wahalifu. Tumeona swala la Mwangosi limekuwa na hali ya kusuasua nayo si nzuri sana japo hatua imechukuliwa kwa muuaji.
Think behind the scene.
 
Mh kama wamekutuma pia sio mbaya ila naomba katika kuchanganyikiwa kwangu naamini ni serikali hadi mungu ataposibitisha
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Kwa mwenye akili fupi na mgando km ww ni sahihi uliyosema; kwa wenye kutafakari na kujua cheo ni dhamana wataweka press conference kwa namna ambavyo tukio lilivuta hisia za wananchi na Serikali kuhusishwa! Lakini kwa fikra ndogo ulizonazo huoni!
 
Wewe mleta mada siyo great thinker,kwanza unaonekana kabisa wewe ni ccm,hujui mazingira ambayo Dr ulimboka alitekwa na kuteswa,umeandika bora uandike,hata kama ni raia kama wengine TZ lakini alikuwa ktk ngazi tofauti na wengine,mleta mada una akili finyu sana,hujui kuwa mgomo wa madaktari ktk taifa lolote duniani huangusha serikali husika? na yeye Dr ulimboka alikuwa nani? Kwa nini ----------- lifungiwe? Mleta mada umekurupuka sana,rudi kajipange.
 
Wewe mleta mada siyo great thinker,kwanza unaonekana kabisa wewe ni ccm,hujui mazingira ambayo Dr ulimboka alitekwa na kuteswa,umeandika bora uandike,hata kama ni raia kama wengine TZ lakini alikuwa ktk ngazi tofauti na wengine,mleta mada una akili finyu sana,hujui kuwa mgomo wa madaktari ktk taifa lolote duniani huangusha serikali husika? na yeye Dr ulimboka alikuwa nani? Kwa nini ----------- lifungiwe? Mleta mada umekurupuka sana,rudi kajipange.
 
Nashawishika kuamini hili jambo kwa sababu kuna mkanda wa lwakatare ambao chadema mpaka leo hawawezi kuuelezea mantiki yake, kuna ushahidi usiopingika kuwa wanachama wa chadema walio kinyume na "uongozi" wametekwa na kupigwa (baada ya kupachikwa nembo ya "waasi"), na vile vile uongozi unadai kuwa na ushahidi wa tukio la mabomu arusha tena wa video, lakini hawataki kuuweka hadharani...Hata haya matukio ya Ulimboka na kibanda nashawishika kuwa ni smear campaign against the gov.
 
dr ulimboka waliomtesa wanajulikana na aliewatuma pia wamejulikana soo ni aibu kubwa mpaka sasa haijawatoka
 
ila naapa kama tukio lingenitokea mm kila alieshiriki kwa namna yoyote hata sufuria kwao zisingebaki co panya pekee ningebeba dhambi
 
Hiii ndo ushahidi kua wabongo bado tupo mbali saana katika kutafakari mambo huyu jamaa hajui kabisa analo changia na madhara yake.Angalia madhara ya Rushwa ndogo ndogo kama kanga, Tshirt na sherehe kubwa ambazo kipindi hicho ziliitwa TAKRIMA na kubalikiwa na viongoz umezaa vingozi mafisadi coz wametokana na mfumo wa Rushwa hivyo wakiwa madarakani wanarudisha pesa yao kwa namna yoyote madhara yake kila Raia sasa hivi anajua kua kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake so jamii nzima HOSPITALINI,MASHULENI,BARABARANI,BANDARINI,MAHAKAMANI yaani kila sehemu kama huna ndugu bila Rushwa hufiki kokote kifupi niseme TAKRIMA ZA UCHAGUZI ZIMEZAA MFUMO FISADI.Tuje issue ya ulimboka madhara ya vitendo vya serikali kuwateka Raia wake (kama kweli make nachukulia kauli ya dk Ulimboka mwenyewe kua anamtambua vizuri afisa wa serikali aliemteka Lakini pia kule zanzibar kiongozi wa uamsho awali polisi ilikana baada ya wananchi kutishia kutembeza mapanga mitaani wakamuachia) madhara yake ni kua Hata raia wenyewe wanaiga unyama wa namna hii tena kuliko serikali yenyewe kama walivyoiga Takrima mfano halisi Vitendo vya kuwateka watu na kupotezwa kisha kukutwa wamekufa vimeongezeka lakini pia mauaji ya KITOVU CHA USALAMA MWANZA (RPC MWANZA) ni mfano tena mpaka sasa polisi hawajui nani kafanya ndo maana nikasema kua Raia wakiiiga wanapanga vizuri make akina ulimboka na Shakh wa Zanzibar iliwachukua Raia masaa tu kuwajua wliofanya unyama ule hadi mwanahalisi ikafungiwa kwahiyo serikali Lazima ilaumiwe kwa namna yoyote ile kwani Ulimboka kaitaja lakini ndie Baba wa nyumba ambae wanae wanamhisi kushiriki umafya ambao tayari na watoto wameiga kwahiyo ukiona wnaolaumu wajinga ujue ipo siku jamii nzima ikishakua ya kimafya hata ww au katika nduguzo hamtasalimia sawasawa na vita ya wenyewe kwa wenyewe inaua aliekuwemo na asie kuwemo ndege ikiachia Bomu toka angani likfika ardhini linaua nyasi,sisimizi wanyama hadi wanadamu halichagui Mungu isaidie Tz tusifike huko hapa panatosha.
Sio kwa Uncle magu!!
 
Back
Top Bottom