Kama hii nchi ina watu wana mawazo mafupi kama yako wewe hans, basi watanzania wataendelea kuburuzwa milele... Hata mtoto wa darasa la tatu ukimuelezea hii senariao lazima ataelewa kinachoendelea.
Nakataa kukubali kuwa wewe ni kiziwi au kipofu wa kutokuona haya mambo au umetumwa kuja kuleta destraction humu JF, Tanzania haingozwi na walokole au watawa, au na wewe ni wale usalama wa taifa ambao kazi pekee wanayoijua ni kuua? Hizo fikira zako za nje ya boksi kaziweke kwenye dust bin....
Nakataa kukubali kuwa wewe ni kiziwi au kipofu wa kutokuona haya mambo au umetumwa kuja kuleta destraction humu JF, Tanzania haingozwi na walokole au watawa, au na wewe ni wale usalama wa taifa ambao kazi pekee wanayoijua ni kuua? Hizo fikira zako za nje ya boksi kaziweke kwenye dust bin....