Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

Upo uwezekano kuna watz ama wamefiwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, au wapenzi. Kisa? 'madaktari wamegoma!' Mtu anajiuliza kulikoni? Anapewa ufafanuzi, 'madaktari wanawatakia mema na neema wagonjwa. Ikiwemo huduma bora!' Loooh jamaa hasira zinampanda zaidi. Anasoma magazeti na kufatilia habari anakuta kinara ni ulimboka. Ahaaa! Ngoja nimuonyeshe uchungu wa kufiwa. Je inawezekana?
 
Kwa jinsi ulivyoandika kichwa cha habari, nilifikiri umemuhoji Dr.Ulimboka then akakupa sababu za kutosha kwanini tusiilaumu serikali. Kwakuwa upo out of the Box, tafuta njia uwe in sasa.

nami nilidhani Uli kasema
 
Nadhani wewe ni mtu wa system (Usalama wa CCM, SIO TAIFA) Umetumwa ili kudilute/divage hii issue.Wewe ni mtu mpuuzi na mwenye IQ ndogo sana... Tafakari kauli ya waziri wako Mkuu Pinda, Tafakari kwanini leo ameshindwa kutoa maelezo (NB; Fikiria ni kwa nini LEO ASUBUHI alipokaribishwa na Speaker, alichanganyikiwa mpaka anamuita speaker Waziri mkuu, dhamira inamsuta na kumuumbua kwa kushindwa kutimiza lengo la kumuua Dr Ulimboka)
Upo uwezekano kuna watz ama wamefiwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, au wapenzi. Kisa? 'madaktari wamegoma!' Mtu anajiuliza kulikoni? Anapewa ufafanuzi, 'madaktari wanawatakia mema na neema wagonjwa. Ikiwemo huduma bora!' Loooh jamaa hasira zinampanda zaidi. Anasoma magazeti na kufatilia habari anakuta kinara ni ulimboka. Ahaaa! Ngoja nimuonyeshe uchungu wa kufiwa. Je inawezekana?
 
Wakati tukiendelea kugumia kilichomkuta Dr. Ulimboka, kama kawaida lazima "conspiracy theories' ziwepo ili kujifariji kuwa kuwa aliyefanya hivyo ni nani na kwa malengo gani?.

'Conspiracy theory' Number 1: " It is "inside job"!.
theory hii ambayo ndiyo ya walio wanaamini kabisa ile ni kazi ya serikali, kwa msingi kuwa yeye ndio chanzo cha mgomo toka mwanzo, kwa hiyo, akishughulikiwa, mgomo ndio utamalizika rasmi, hivyo serikali ikawatumia vijana wake waitwao "the oparatives" wamshughulikie vile wataona inafaa, na kweli vijana wakaingia kazini na kilichotokea ni motokeo ya kazi "nzuri" ya vijana wale ambao wameitekeleza vibaya (incomplete), hivyo sasa kui embarass serikali!.

Wanabodi, hakuna ubishi, "the oparatives wapo", na hizo ndizo kazi zao, lakini naomba kutofautiana na simple thinkers wanaoamini its an 'inside job', kwa sababu ili "oparatives" waingie kwenye any 'covert' oparation, lazima kwanza waweke malengo, "what do they want to achieve", ili kujaustify "the motive behind", na kabla ya utekelezaji, lazima wapime, "impact" na "consequences" ndipo huamua "the best way" ya utekelezaji, na kwa vile "they are proffessionals", siku zote hutekeleza with very high degree za 'precise' na leaving no trace behind!.

Kilichomtokea Dr. Ulimboka ni kazi ya "amateures" kwa kuacha loop holes kibao ambapo ukiwa "deep thinker", uta doubt kama ile ni kazi ya "professionals", hivyo inawezekana kabisa sio "inside job", unless kilichofanyika kiwe ni tactics za vijana wa "inside job" to carry out kihovyo hovyo ili ionekana ni amateures na huko kumuacha aishi pia ndio lengo na sio aliachwa kuishi kwa bahati mbaya!.

Normal comon sense inanishawishi nijiulize, kama Dr. Ulimboka ndie adui wa serikali, kama serikali hiyo hiyo imeamua kumshughulikia kwa njia hiyo ili iachieve nini?. Ule msemo wa mchawi, mpe mwanao akulelee kwa imani kuwa hawezi kumdhuru!, hivi inawezekana kweli serikali yetu ndio iliyomshughulikia Dr. Ulimboka na kwa nanma ile?!. Kama ni kweli, hii ni kazi ya "inside job", then for sure, "hii itakuwa ni serikali ya vichaa!".

Conspiracy Theory No. 2. Could it be just a "Smear Caipaign"?!.
Adui wa adui yako ni rafiki yako, kwa vile Dr. Ulimboka ndiye kiongozi wa hii migomo, na hii migomo imeishaipasua sana kichwa serikali, hadi rais Jakaya Kikwete, akautangazia umma kuwa mgomo ule ni wa mwisho, na kwa vile sasa mgomo umeibuka tena na kuwafanya wote waliojifanya kuuepusha tangu mwanzo kuonekana wajinga, akiwemo rais JK, its obvious Dr. Ulimboka ndie alishaonekana ni adui wa serikali na kila mtu anajua, hivyo jambo lolote litakalomtokea Dr. Ulimboka, automatically, fingers zitakuwa pointed kwa serikali kuwa sio mshukiwa bali ni mhusika mkuu!.

Kwa msingi kuwa, Dr. Ulimboka ni adui wa serikali, automatically atakuwa ni rafiki wa maadui wa serikali, hivyo sasa amegeuka target nzuri kwa maadui wa serikali waliomo within, ambao hawaitakii mema serikali yao, wakaamua kumshughulikia Dr. Ulimboka ili kuiembarass serikali kunyooshewa vidole vya lawama kwa utaratibu unaojulikana kama "smear Campagn"!.

Could it be?.

Pole Dr. Ulimboka.

Get well soon!.

Pasco.

 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Umeniaribia siku yangu.
Unaposema jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake una maana gani? Kwani Jeshi la polisi linahusika kivipi na shuhala la madaktari? polisi ndo wanasuluhisha matatizo ya madaktari na serikali?
Nijuavyo mimi, kazi ya jeshi la polisi ni
kulinda raia na mali zao, kwa hiyo kazi ya kushuulikia swala la huyu datari kupigwa ni jambo linalowahusu polisi mia kwa mia, na si kusuluhisha migogoro ya Madaktari.

Kama hukuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya ulimboka, basi wasiliana naye utoe dukuduku lako kwake na si hapa JF.
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Hivi ni kweli Polisi wetu hawajawahi kutesa na kuua watu wasio na hatia hapa Tanzania? Na labda mpaka siku atakapoteswa au hata kuuawa kwa Ponda ndio tuamini? Bila ya shaka tunapoteza kumbukumbu kwa haraka sana. anayesubiri Ushahidi aendelee kusubiri, maana wanaofanya uchunguzi huo ni hao hao polisi.
 
Mnaolipwa kufanya hii kazi poleni sana.. hamuwezi kuisafisa serikali katika hili

Ikitokea siku Hans na raia yoyote amegombana na jirani yake alafu baada ya siku kadhaa yule mgomvi wake akakutwa sehemu either amekufa au amejeruhiwa katika mazingira ya utata mara nyingi polisi humkamata yule ambaye alikuwa na ugomvi nae alafu uchunguzi mwingine unafanyika, nadhani kuna wana JF wamelishuhudia hili ktk maeneo yao?

Unless kama Hans Roger Dibagula hajawahi kuona vitu vya namna hii vikitokea hivyo basi Hans Roger Dibagula lazima aelewe kwamba kutokana na ushahidi wa kimazingira na situation ya hali ilivyokuwa wadau wana link hili tukio na huenda ni serikali imehusika kwani serikali ina mbinu nyingi za kuwanyamazisha watu na hili japo sio njia rasmi lakini kuna matukio yanayofanana na hili yameripotiwa tatizo kunakuwa hakuna ushahidi wa moja kwa moja.

Mfano mzuri majuzi hapa bungeni waliita jina moja moja ili kuwaziba mdomo wale wabunge wa CCM ambao kulikuwa kunadalili ya kupinga budget kama wakipiga kura ya ndiyoo wakati mwingine anaeza akatokea kinara wa kupinga ukasikia anaumwa au kagongwa na gari
 
Ushawahi kuona mjusi amebananishwa kwenye kona? Mbona tunahangaika sana wakati kitu ambacho majibu yake yanahitaji kufanyiwa kazi ya kitalaamu?
 
Upo uwezekano kuna watz ama wamefiwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, au wapenzi. Kisa? 'madaktari wamegoma!' Mtu anajiuliza kulikoni? Anapewa ufafanuzi, 'madaktari wanawatakia mema na neema wagonjwa. Ikiwemo huduma bora!' Loooh jamaa hasira zinampanda zaidi. Anasoma magazeti na kufatilia habari anakuta kinara ni ulimboka. Ahaaa! Ngoja nimuonyeshe uchungu wa kufiwa. Je inawezekana?

Wewe ni hovyo sana. Unapo kwenda vitani ili kulikomboa taifa maana yake una risk maisha yako na mambo mengine kwa faida ya walio wengi. Madaktari si kwamba wanapambana ili kupata mishahara mi nono tu bali kujaribu kufanya mazingira ya utendaji kazi kuwa bora zaidi kwa mgonjwa na mtoa huduma.

Inashangaza sana kusoma michango ya baadhi ya watu kwenye mablog mbali mbali wakilifurahia jambo la kufanyiwa unyama DR Ulimboka. Hakuna Daktari anayependa kuona mgonjwa anafia wodini kwa kukosa huduma ndugu zangu. Ibrahimu alikuwa tayari kumtoa mwanae kafara ili kutimiza ahadi za mungu. Kwahiyo sioni sababu ya mtu kukasirishwa na maamuzi ya madaktari wakati wanajaribu kutuwekea mazingira ya kupata huduma yaliyo bora zaidi.
 
Wakati tukiendelea kugumia kilichomkuta Dr. Ulimboka, kama kawaida lazima "conspiracy theories' ziwepo ili kujifariji kuwa kuwa aliyefanya hivyo ni nani na kwa malengo gani?.

'Conspiracy theory' Number 1: " It is "inside job"!.
theory hii ambayo ndiyo ya walio wanaamini kabisa ile ni kazi ya serikali, kwa msingi kuwa yeye ndio chanzo cha mgomo toka mwanzo, kwa hiyo, akishughulikiwa, mgomo ndio utamalizika rasmi, hivyo serikali ikawatumia vijana wake waitwao "the oparatives" wamshughulikie vile wataona inafaa, na kweli vijana wakaingia kazini na kilichotokea ni motokeo ya kazi "nzuri" ya vijana wale ambao wameitekeleza vibaya (incomplete), hivyo sasa kui embarass serikali!.

Wanabodi, hakuna ubishi, "the oparatives wapo", na hizo ndizo kazi zao, lakini naomba kutofautiana na simple thinkers wanaoamini its an 'inside job', kwa sababu ili "oparatives" waingie kwenye a
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

You are inside the box still because you have swallowed the theory of non - partisan in a wrong manner...I am saying so because you cannot jump to conclusion that the govt circles are not involved. He who is neutral should way the possibility of participation of the parts involved. As far as I ma concerned I would think the government is responsible to a large extent due to these reasons: i) It is responsible for the security of her people and their properties, ii) It is the partisan accomplices in the case.

Just imagine if you are fighting with your neighbour for a piece of land, then one day having been in bad relationship with your neighbour they find you dead in another piece of land that belongs to your neighbour (Tanzania), you will cast doubt on your neighbour in any case...so the govt is within this category.
 
Hans unaongea kisiasa na kihisia zaid. Marekani imekua ikiwatia mikononi watu wanaoshukiwa km magaidi kutumia circumstancial evidence. Sasa mwenzetu unaonekana km unawivu fulani kwa umaarufu alopata .dr Ulimboka.
Ok tumeyasoma mawazo yako
 
MKUU Hans....You are not thinking outside the box! Maumivu ya kichwa huanza taraatiiibu.... so every mistake counts, every pain to an innocent individual counts, kila manyanyaso kwa umoja wake na ujumla wake yanamadhara Ninasema, hutuwezi kupuuza maumivu ya mtu mmoja kana kwamba hana maana. Kama sisi tuliwahi kusema kuwa hatuwezi kuwa huru hadi afrika yote iwe huru, inakuwaje leo tuone uonevu kwa mtu mmoja kana kwamba hauna mshiko? Violation ya haki ya mtu mmoja mmoja counts equally na kama ingekuwa ya kundi. Bahati mbaya violation hiyo is through brutal actions ambazo zime-inflict pains kwa mtu. nadhani huu ni uoga na kukosa hoja ndo vitamfanya mtu amtendee mwenziwe hiyo.

Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea Just thinking outside the box
 
Nilidhani una akili timamu kumbe la hasha!!! wewe ni chizi .... tena chizi asiyejitambua.....

Siku zote mtu mwenye akili timamu ni yule anatetilia mashaka mambo anayoyaamini, ni lazima ujiulize kwaza kabla hujafiria kuandika ujumbe wa kipuuzi kama huu. Kwa hakika hata chizi anakuzidi uwezo wa kufikiri. Najua Nape amekupa vijisenti kidogo il uje kuchafua hali ya hewa na akili ya watu wenye hekima humu JF, Busara yetu ni kukupuuza
 
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

Hoja za msingi hapa ni 2.

1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


Just thinking outside the box

Mkuu serikali inapotuma polisi kwenye kuwapiga raia, hata kama raia huyo ni mmoja na mtoto inatakiwa kulaumiwa. ikipiga mmoja ina maana inaweza kupiga wengi. Hakuna consipiracy theory kwenye mazingira ambayo wahusika wanaonekana wazi. Issue ya Ulimboka imefahamika kutokana na umuhimu wa Ulimboka kwa madakatri na kutokana na kuendelea kwa sekta ya mawasiliano.

Mkuu wa polisi aliitisha Conference hiyo kwa kuwa anajua kabisa kwamba jeshi la polisi limefanya nini, siku hizi hali iko tofauti. Huwzi kuficha ficha au kukaa kimya wakati mauaji yanatokea. Mkuu kufungua jalada la wizi wa kuku na jalada la mauaji, au hata jaribio la mauaji, si sawa.

Vyombo vinavyoitwa vya usalama wa raia vinapokuwa source ya insecurity ni lazima liangaliwe kwa jicho kali, na wanaoangaliwa wanatakiwa kujieleza.
 
Back
Top Bottom