KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Vp! amevaa mapete?
ngeleja naona anasisitiza kuwa sisi kwetu tanzania tunatoza kiasi kidogo sana kwenye umeme kulinganisha na wenzetu wa kenya na uganda..anataka tanesco wajitegemee kwa kutoza kiasi cha juu.hapa vp wakuu ghalama zitapanda nini? na sijui itakuwa ni lini!