Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
nimemsikiliza naibu waziri wa nishati na madini,adam malima akianza hotuba yake.kamshukuru mama yake ambae amechelewa lakini atakuja baadaye,mke wake barafu wa moyo wake kipozeo cha roho yake,watoto wake kwa majina zaidi ya kumi,mpaka mashemeji zake na wakwe,jamani was it all necessary?