Mjadala wa Pili wa Wizara ya Nishati na Madini: Ngeleja kujiokoa?

Bajeti ya wizara ya Nishati na Madini inasomwa sasa bungeni ambapo inavyoelekea itapita kwa kishindo baada ya kupangiwa Tshs 1.2 trillion . Hapo awali wizara hii iliomba Tshs 600 bn , kwa maana hiyo imeongezwa kwa 100%. Hongereni serikali sikivu kwa kusikiliza maoni ya wananchi na wabunge

Hapo kwenye red. Ni serikali sikilizia.
 
Mh speaker kawadifem watu wafupi just joking though kuna ukweli kwenye hoja yangu
 
Hii "bajeti ya Ngeleja" itapitishwa bila kupinga maana wabunge wanataka "kuanza week end mapema" - Ukitizama hata "reaction" yao it tells kuwa "wana haraka" ya kumaliza na kuendelea na "mambo yao" ya mwisho wa wiki... shame!
 
ngeleja naona anasisitiza kuwa sisi kwetu tanzania tunatoza kiasi kidogo sana kwenye umeme kulinganisha na wenzetu wa kenya na uganda..anataka tanesco wajitegemee kwa kutoza kiasi cha juu.hapa vp wakuu ghalama zitapanda nini? na sijui itakuwa ni lini!

Hii kasumba ya kila wakati kutulinganisha na nchi zingine inaudhi na inachefua. kama hivyo basi na sisi tuwe kama Libya, Tunisia na Egypt.
 
Hiyo budget ikipita mzigo wa deni la TANESCO kulinusuru ni kuongeza tarrif tu kwanini serikali isitoe subsidy kwa kubana posho, vikao, mabaraza ya wafanyakazi,gharama za sabasaba na nanenane , vitafunwa etc
 
Mnyika anatoa hoja iweje wizara iache mapendekezo ya vyanzo mbadala vya mapato badala ya mkopo.
 
Waziri anajifananisha na marekani kuhusu mkopo na hajajibu hoja ya vyanzo mbadala vya fedha.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom