Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajeti ya wizara ya Nishati na Madini inasomwa sasa bungeni ambapo inavyoelekea itapita kwa kishindo baada ya kupangiwa Tshs 1.2 trillion . Hapo awali wizara hii iliomba Tshs 600 bn , kwa maana hiyo imeongezwa kwa 100%. Hongereni serikali sikivu kwa kusikiliza maoni ya wananchi na wabunge
Bunge lote limesimama. Hii bajeti haipiti
ngeleja naona anasisitiza kuwa sisi kwetu tanzania tunatoza kiasi kidogo sana kwenye umeme kulinganisha na wenzetu wa kenya na uganda..anataka tanesco wajitegemee kwa kutoza kiasi cha juu.hapa vp wakuu ghalama zitapanda nini? na sijui itakuwa ni lini!
Kivipi kuu hebu fafanua wengine tupo mbali na TV
hi kali kifungu kimoja wachangiaji bunge zima leo sijui itakuwaje?
Makamba ana wasiwasi na logistic ya usafilishaji wa mafuta.