Naam wakuu,
Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
mgogoro uliokao katika elimu ni mgogoro wa kimfumo. mtaala ungetolewa na kusambazwa, vitabu wa kiada na ziada vingekuwa bora, ukaguzi ufanyike na mitihani iendane na mtaala - mosha
Nimesikia serikali ina mpango wa kupunguza pass mark ya kwenda kidato cha tano kutoka div 1-3,na badala yake sasa hivi mpaka div 4 wenye div 4 ya pts 26-29 wanaweza kupata nafasi ya kidato cha tano.
Naam wakuu,
Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkhrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.