Cesc Henry Sn
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 217
- 123
Kinacho tucost ni kampani zetu au makundi ya marafiki au maswahiba, mi nakueleza marafiki ndio kila kitu ukipata wala bata basi swala la kujenga kukumbuka itakuwa shida.
Nyumba ni maamuzi tu, sababu nyumba haizuii wewe kufanya mambo mengine. Unapunguza starehe huku nyumba unajenga kidogo kidogo.
Pia usitake kujua gharama ya mwisho ya ujenzi mtu alitumia, we amua kwa kuchukua hatua kusema nataka kujenga. Utajenga na hadi utakapo fika uwezi amini ulipo toka.
Namshukuru Mungu nna miaka 28 nna kakibanda ambacho nitakaa na kuwaza hela ya kula tu.
Nyumba ni maamuzi tu, sababu nyumba haizuii wewe kufanya mambo mengine. Unapunguza starehe huku nyumba unajenga kidogo kidogo.
Pia usitake kujua gharama ya mwisho ya ujenzi mtu alitumia, we amua kwa kuchukua hatua kusema nataka kujenga. Utajenga na hadi utakapo fika uwezi amini ulipo toka.
Namshukuru Mungu nna miaka 28 nna kakibanda ambacho nitakaa na kuwaza hela ya kula tu.