Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Umeonaee eeh..Shem uko vizuri
Umeonaee eeh..Shem uko vizuri
waone themi buildersHongera sana
Acha uchokozi bwasheShem uko vizuri
Hapana mkuu, ulijibu vizuri sana, niliona watu wanavunja wengine moyo pasi na hoja yenye mashiko, ulijibu vyema sana vipi ulishamaliza hiyo project yako?Acha uchokozi bwashe
Yeah, kuna watu wanatuogopesha kwa kutoa figures ambazo kwa kweli kijana anajiuliza hivi nitashika lini 30m nianze kujenga, kumbe mtu anaweza kufanya kwa steps tu; foundation, walls then anapaua. Ujenzi hauishi, nipo mahali navuta pumzi, uzuri niko na bright lady Patience123.Hapana mkuu, ulijibu vizuri sana, niliona watu wanavunja wengine moyo pasi na hoja yenye mashiko, ulijibu vyema sana vipi ulishamaliza hiyo project yako?
Acha tu...Umeona eee, hivi unakumbukaga tulivyokuwa tunasimangwa na yule baba?
Sio kwa kupatwa kwa wapangaji!Acha tu...
Ni kupatwa kwa faza haus
Boss..point yako ni ipi? Umeongea the obvious. Sawa na kusema mtu akifa hapumui.Salaam jf.
Leo nimeona nilete hiki kitu huenda ndio kwanza nimewashtua watu kutoka katika usingizi mzito wa kusahau kutokana na presha za kisiasa na misukosuko ya kiuchumu, hasira za kugongwa na nyoka wa kijani na uchovu wa kuzuia ukuta uliotaka kuanguka.
Wito wangu wote kwa wale waliojisahau kununua kieneo hata cha mguu mmoja ili wazibe njia wapate hata mahala pa kujiegesha. Na uzi huu ni hasa kwa wale vijana wetu ambao wengi sana ni wale ambao wameajiriwa au hata kujiajiri wenyewe na hasa wale wanaokaa maeneo ambayo viwanja hakuna mfano Kinondoni,o'bay,msasani, sinza na yanayofanana na hayo ambao wale pesa wanapata japo kidogo lakini huzitumia kwa sababu maeneo yanawaruhusu (wasio taka kuhama kisa anakaa na msanii jirani).
Wito:
Vijana tafuteni vijieneo jamani huko mbele mambo magumu itafika kipindi hali ya kimaisha itakuwa mbaya mtu unawezashindwa hata shilingi 500 kwa siku. Haya mambo ya nywele nyeupe na kijani yapo tu miaka yote mtafanya.View attachment 398692
Nyumba ni stages tu kama unavyosema ila vijana wengi huwa wanafikiria mpaka awe na milion 10 ndo anaanza na hapo ndio wengi hukata tamaa maana anashangaa milioni 10 inayeyuka fyuuuuuu alafu anarudi kuwatisha watu, lakini mzee wa kumwaga mchanga, anavuta anamwaga kokoto analeta tofari alafu analeta fundi hata kama atatumia 10 milion kwa hatua flani akirudi atatia watu moyo tofauti na aliejengea bank alaf akaibuka kitu kikawa level ile ileYeah, kuna watu wanatuogopesha kwa kutoa figures ambazo kwa kweli kijana anajiuliza hivi nitashika lini 30m nianze kujenga, kumbe mtu anaweza kufanya kwa steps tu; foundation, walls then anapaua. Ujenzi hauishi, nipo mahali navuta pumzi, uzuri niko na bright lady Patience123.
utakuwa hujamuelewa jamaa. Huo uwekezaji wa nyumba ni mzuri kama tayari umeshakamata hela na una uwezo wa kuendesha maisha bila tatizo. kibaya hapa ni mtu ambae bado hajaiona future yake itakuwaje halafu inatokea anapambana kupata Milioni 60 either kwa kukopa au namna nyingine halafu anajenga nyumba ya milioni 60 then anapata kodi ya sh laki mbili kwa mwezi na anakosa hata hela ya kuishi vizuri au hata kulipa ada ya watoto wapate elimu bora. Ndio maana tunasema sisi watanzania tunapaswa kujua namna bora ya kupata hela ya uhakika kabla ya kukimbilia kuwekeza. unawekeza nini mkuu wakati huna kitu? kama tungekuwa na elimu bora ya kujiajiri wenyewe pamoja na kujiamini milioni 30 mtu anaweza akaizungusha na ndani ya miaka miwili huyu mtu anageuka kuitwa tajiri mtaani na mafanikio yake yanaonekana. wewe na nyumba yako ya milioni 60 unabaki unapiga mahesabu ya kuikarabati kama sio kuiuza.Naweza kukubaliana na wewe iwapo utanipa uwekezaji mbadala wa ardhi na nyumba, baada ya hapo nami nitajenga hoja kwanini uwekezaji wa ardhi na nyumba ni muhimu
Nimemuelewa sana, nami niliomba anipe mbadala wa nyumba anaofikiria ni investment bora zaidi.utakuwa hujamuelewa jamaa. Huo uwekezaji wa nyumba ni mzuri kama tayari umeshakamata hela na una uwezo wa kuendesha maisha bila tatizo. kibaya hapa ni mtu ambae bado hajaiona future yake itakuwaje halafu inatokea anapambana kupata Milioni 60 either kwa kukopa au namna nyingine halafu anajenga nyumba ya milioni 60 then anapata kodi ya sh laki mbili kwa mwezi na anakosa hata hela ya kuishi vizuri au hata kulipa ada ya watoto wapate elimu bora. Ndio maana tunasema sisi watanzania tunapaswa kujua namna bora ya kupata hela ya uhakika kabla ya kukimbilia kuwekeza. unawekeza nini mkuu wakati huna kitu? kama tungekuwa na elimu bora ya kujiajiri wenyewe pamoja na kujiamini milioni 30 mtu anaweza akaizungusha na ndani ya miaka miwili huyu mtu anageuka kuitwa tajiri mtaani na mafanikio yake yanaonekana. wewe na nyumba yako ya milioni 60 unabaki unapiga mahesabu ya kuikarabati kama sio kuiuza.
Huyo mzee kuna uwezekano mkubwa hajajenga kwasababu ya hao hao watoto, leo hii wanamuona mzigo. Huo ni ubinafsi tu. Kuna wazee waliwekeza kwenye vibanda badala ya elimu ya watoto,sasa hivi watoto mateja/vibaka wanawasubiria wafe wauze nyumba!
Nimemuelewa sana, nami niliomba anipe mbadala wa nyumba anaofikiria ni investment bora zaidi.
Kwa mfumo mbadala wa majitaka waone kampuni ya Riflo. Unaweza kugoogle kwa maelezo zaidi. Mfumo salama, hutakaa unyonye majitaka wala kusikia harufu yoyote na bei zao za vifaa na ufundi kama utanunua mawe lori 1 na kuchimba mashimo mwenyewe haizidi milion 1.
Ninasikitika sana kuwa hamjaelewa hoja yangu, nilitaka mnipe mbadala wa uwekezaji mbadala wa nyumba.Nyumba kibongo bongo ni Liabilitie, gaharama za kuitunza kwa vyovyote ni kubwa, pili inategemea na kipato chako, kma ni cha kuunga unga ni bora ukawezkeza kwenye Elimu yako au ya wanao, afya yako ay ya familia, hakika matunda utayaona mbeleni,
Pia kwa mtazamo wangu, maisha yalivyo sio lazima Ubutue wewe, ni bora leo kuweka misingi Imara ya wanokuja kuja kubutua vizuri, kuliko wewe kulazimisha kubutua maisha huku ukiawa na msingi mbovu, siku ukifa nyuma unaacha mateja, cha kwanza ni kuuza hiyo nyumba na kuuana.