Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Bora niendelee kupanga, na ningejua ndivyo hiyo pesa ningeongeza mtaji kwa biashara yangu ningepata pesa zaidi ambazo zingenipa uhakika wa kilipa kodi, leo nimezika pesa chini, nabaki na hasira kama vile nilitumwa kumbe ni dhamira nzuri ila mipango mibovu
Polee sana.....kwakuwa umeshajitambua....uza....fanya buzs...focus kwenye kugenerate more income...kisha utarejea kwenye ujenzi baadae. Am just thinking!
 
Kwa haraka haraka nitakupa makadirio maana ndizo kazi zangu hizo chukua square meter za ramani yako times 500,000 utapata garama ya morden house with everything you need.

Kama hujaelewa nina maana Urefu X Upana X 500,000=Construction cost

Hapo nina maana unatumia mkandarasi.
Hii formula inarahisisha lkn ni sahihi kweli?
 
Jamani naomba niulize kwa wana JF ambao ni wataalamu wa ujenzi.

Naomba wanipatie bajeti ya kujenga nyumba ya kawaida yenye vyumba 5, sebule, kitchen, dinning na sitting room ina cost kwa makisio shilingi ngapi?

Naomba nielimishwe,

Asanteni.

======
SIMILAR CASES:


Vyumba vitano wewe Tembo? Au unajenga guest house? Au una familia kubwa kiasi gani?! Jenga vyumba 3 inatosha hata kama una watoto 5; kuna siku mtabaki wewe na mkeo tu then nyumba inakuwa kero usafi na mwangwi na kuongeza upweke! Ukinunua vifaa mwenyewe na kusimamia vizuri milioni 35 - 40 utakuwa na kajumba kazuri ka kujivunia. Ukiwa Mangimeza wa kuagiza mafundi wakufanyie kila kitu andaa 100mln na utaambulia nyumba jina, matofali biskuti, linta ya mchanga, nondo milimita 1 na sakafu inatitia! Bongoland hii kila mtu mwizi, anamvizia mwenzie! Kila la kheri
 
Vyumba vitano wewe Tembo? Au unajenga guest house? Au una familia kubwa kiasi gani?! Jenga vyumba 3 inatosha hata kama una watoto 5; kuna siku mtabaki wewe na mkeo tu then nyumba inakuwa kero usafi na mwangwi na kuongeza upweke! Ukinunua vifaa mwenyewe na kusimamia vizuri milioni 35 - 40 utakuwa na kajumba kazuri ka kujivunia. Ukiwa Mangimeza wa kuagiza mafundi wakufanyie kila kitu andaa 100mln na utaambulia nyumba jina, matofali biskuti, linta ya mchanga, nondo milimita 1 na sakafu inatitia! Bongoland hii kila mtu mwizi, anamvizia mwenzie! Kila la kheri
Mpaka nahisi kishindo cha post yako hii! Atakuwa ameelewa
 
habari zenu wadau
samahani naomba kujuzwa tofali zipi ni imara kati ya blocks na za kuchoma. na je katika ujenzi tofali zipi ni gharama zaidi katika ujenzi??
asanteni
 
nyumba ya vyumba vitano vya kulala vya nn au ndo ma extended family haya ya kwetu,iy ni guest kabisa,
 
Average in DSM TZS Million 100/=

With Kigae, Tiles, Fence, paint, plumbing, electricity etc.
ingekuwa hivyo wenye mipato cha chini wasinge jenga...


nyumba ya kawaida ambayo Room 2, sitting room, dining, jiko, toilets 2, kwa kila kitu inaweza kukugharimu hadi 30 to 50 M...inategemea na mbwembwe zako unazoweka...

kuipandisha matofali tuu kuanzia msingi na shimo la choo ushachimba...ukiweka bati 15M...Hujapiga plasta wala kingine chochote...

Kujenga km huna hela nyingi unaweza jengadogodogo unamaliza..

Km hiyo matofali 3000 yanatosha x bei @ 1000/=
Cement mifuko 50 @ 10500
nondo
mchanga lori sh.170000 x 3
kokoto lori sh. 300000 x 3
etc
 
Vyumba vitano wewe Tembo? Au unajenga guest house? Au una familia kubwa kiasi gani?! Jenga vyumba 3 inatosha hata kama una watoto 5; kuna siku mtabaki wewe na mkeo tu then nyumba inakuwa kero usafi na mwangwi na kuongeza upweke! Ukinunua vifaa mwenyewe na kusimamia vizuri milioni 35 - 40 utakuwa na kajumba kazuri ka kujivunia. Ukiwa Mangimeza wa kuagiza mafundi wakufanyie kila kitu andaa 100mln na utaambulia nyumba jina, matofali biskuti, linta ya mchanga, nondo milimita 1 na sakafu inatitia! Bongoland hii kila mtu mwizi, anamvizia mwenzie! Kila la kheri
hapo mtu hata hajaangalia mahitaji yake ila waswahili wenzake wamsifu kwa Bangaloo kivyako kiumbe kipya
 
  • Thanks
Reactions: MTK
habari zenu

je kama nyumba imeshaezekwa na imewekwa gypsum tayari halafu ikaonekana fupi ndani je unaweza kufanya nini ushauri tafadhali
 
habari zenu

je kama nyumba imeshaezekwa na imewekwa gypsum tayari halafu ikaonekana fupi ndani je unaweza kufanya nini ushauri tafadhali
Kama eneo sio linalotuamisha Maji unaweza kuchimba ndani kama futi 1 au pia unaweza kushusha paa na ukaongeza tofali 2 hapo juu itategemeana na hali yako kiuchumi
 
Hii imekaa sawa kweli? ina maana kwa nyumba ya vyumba 5 alioulizia mkuu inaweza kuwa around Tzsh 25 - 30 Million?.

Hii ukikadiria kwamba kila chumba kitakuwa na ukubwa wa 10 square meters. ((10 x 5) x 500,000) = 25,000,000.

Kwa utaratibu huu mbona gharama zitakuwa ni ndogo ukilinganisha na gharama tunazozisikia kila siku?
Khaa we kweli mwenzangu na mimi kwenye hesabu, yaani hapo nihivi
Anatakiwa aangalie katika raman ya nyumba yake kuna scale wengi hutumia m au wengine cm then kama wametumia cm uta convert to m mfano nyumba yako ina urefu 1600cm kwa upana 1300cm maana yae itakuwa ni mita 16 x mita 13 x 500000 = 104,000,000/= na hilo ndo jibu sahihi.
 
Ujenzi huu jamani duh. Na hela yenyewe ndo hii ya kimazabe mazabe. Nadhani ni mda muafaka kwa wenye hela (makampuni na watu binafsi) kuanza kujenga nyumba za low cost housing na kukopesha watu tulipe taratibu. Maana huu ujenzi unashawishi watu waibe! Nyumba million mia mbili?..hiyo ni income ya miaka mingapi kwa mtumishi wa umma?
 
Jamani naomba niulize kwa wana JF ambao ni wataalamu wa ujenzi.

Naomba wanipatie bajeti ya kujenga nyumba ya kawaida yenye vyumba 5, sebule, kitchen, dinning na sitting room ina cost kwa makisio shilingi ngapi?

Naomba nielimishwe,

Asanteni.

======
SIMILAR CASES:

Vizuri hapo ungesema una kiasi gani halafu ukazidisha maelezo unataka nyumba yenye standard gani mana sku hizi kuna plan za nyumba zinajengwa chumba cha kulala ni kimoja tu lakini utachoka sana ukipewa garama yake.,

Idadi ya vyumba kuwa vingi au kidogo haijalishi garama ila nivyema tungejuwa uwezo wako kifedha. Yawezekana vyumba vitano lakini ukishasimamisha tufali zako ata hupigi plaster nyumba unahamia labda unaweka saruji tu chini madirisha unaziba ziba kwa mabati jirani asikuone.

Lakini ungetaja kiwango cha fedha zako tungejuwa tuzigawanye vipi hizi ununue nini kwa kiasi gani na hizi ufanye hivi kwa kiasi gani nyumba inaisha unahamia.
 
Khaa we kweli mwenzangu na mimi kwenye hesabu, yaani hapo nihivi
Anatakiwa aangalie katika raman ya nyumba yake kuna scale wengi hutumia m au wengine cm then kama wametumia cm uta convert to m mfano nyumba yako ina urefu 1600cm kwa upana 1300cm maana yae itakuwa ni mita 16 x mita 13 x 500000 = 104,000,000/= na hilo ndo jibu sahihi.
mkuu nasikia 500,000 per square metre ni ya zamani sana.

nimeambiwa na wataalamu (QS na contractors) kuwa haya ni makadirio ya TBA ambayo hayako realistic kwa wakati tulio nao.

hawa wataalamu wanadai eti siku hizi iko kwenye 700,000 kwenda juu.

tuendelee kuelimishana.
 
Kwa haraka haraka nitakupa makadirio maana ndizo kazi zangu hizo chukua square meter za ramani yako times 500,000 utapata garama ya morden house with everything you need.

Kama hujaelewa nina maana Urefu X Upana X 500,000=Construction cost

Hapo nina maana unatumia mkandarasi.
MKUU UNAUHAKIKA?
 
Back
Top Bottom