Hii itakuwa sio Tz,kwa sababu hata hizo chupa za Bia zinaonekana sio Brand za Tz.
Ila sio mbaya. ''Kua uyaone''. Na ukishayaona,kaa kimya. Namaanisha ''Live your life''
Hii itakuwa sio Tz,kwa sababu hata hizo chupa za Bia zinaonekana sio Brand za Tz.
Ila sio mbaya. ''Kua uyaone''. Na ukishayaona,kaa kimya. Namaanisha ''Live your life''
sio bangi hiyo jamani, ni shisha hata Tz ipo sana tu kwenye pub na club mbalimbali. Ni kama sigara tu ila inakuwa na ladha mbalimbali kama vile za matunda n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.