Siamini Simba walimaliza na alama 13 juu ya Al Ahly alama 8 na hawakujitapa hivi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,836
Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?

Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?

IMG_20240301_220732.jpg
 
Wamefuzu wakiwa na points 8 na magoli 3 mkononi ngojeni kesho sisi tutakua na points 11 na magoli zaidi ya 4 mkononi!!!
 
Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?

Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?

View attachment 2921806
Pamoja na kuongoza kundi, lakini hakukuwa na faida yoyote uliyopata. Raha ya kuongoza kundi ni kuanza kucheza away na kupangiwa anayeshika nafasi ya pili. Lakini mkaaga mashindano
 
Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?

Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?

View attachment 2921806
Tuambie Kolo baada ya hapo aliishia wapi
 
Yaani timu inafuzu kwa points 8 tu hii ni aibu haswa kwa timu inayojinasibu kuwa bora points 8 ni bora hata makundi yenyewe nisivuke maana inaonyesha wazi umeenda kwa kubahatisha
 
Back
Top Bottom