Kivip mkuu nitoe tongotongoIshu ishafanyiwa colabo lakini kwa gharama kubwa mno...watu wamekula ndefu halafu nono
Mimi what I see ni JPM,is buying time-naamini kabisa its just a matter of time,huyu Makamba will be historyTatizo kubwa katika nchi zetu za kiafrica ni kua malimbukeni,katika.hali ya kawaida ukitafakari andiko la Mange unaona haiba ya kujiamini kulipotukuka na pasi na hofu juu ya alichoandika mwandishi.. lakini kwa mujibu wa hali ilivyo,serikali za mataifa ya 3rd worldcountries zinamatatizo ya kuacha kufatilia habari za ukweli na kuzipa kipaumbele taarfa za uongo (rejea utendaji kazi wa bosi wako hapo ofisini) yaani wakuu wanapenda majungu kuliko ufanisi wa kazi,sasa hapa ndo kipimo kwa mh.rais kama the so called"jipu"litatumvuliwa au ndo fadhila za mzee wa jiji zitaendelea kuheshimika kwa kuacha allele zake ziendelee kutimbwilika..
My take
JPM mlinde kimambi akupe mauozo ya mawaziri na wengine ambao huna taarfa zao,tena ndo maana january hata hakujaza fomu kuwasilisha tume ya maadili maana yawezekana anauchafu mwngi sana.
Nawalaani waliompitisha 5 bora za ugombea urais na nawapongeza walioona mbali kumkatilia mbaali.
Note
JM ni mtu mkubwa wala sina hitilifu nae ila ukweli lazima usemwe
Unajua watanzania wa sasa wanauwezo mzuri wa ku analyse mambo kaka.Umeandika kitu kizuri mno
Ni kweli makamba kafanya,sasa mnaposema angejipanga mlitaka tusijue ukweli?Ama mnamaanisha ni i?Huyu makamba alivotoka na kukiri imewaaminisha watu kuwa ni kweli wamehusika. Kwenye life lazima kujipanga kabla ya kujibu. Mange watu walijua mzusji ila walivojibu ndo basi tena bora sasa wapige kimya kwanza
Ukweli wa mahusiano binafsi ya mwami na ex wakeNi kweli makamba kafanya,sasa mnaposema angejipanga mlitaka tusijue ukweli?Ama mnamaanisha ni i?