Mjomba Mjomba
New Member
- Sep 7, 2011
- 2
- 0
jamani nimenunua mitsubishi pajero io ina kama miezi kumi tu, lakini imeanza kusumbua hasa misi zimekua nyingi na wakati mwingine inanizimikia kwenye foleni hapa mjini.
Nimejaribu mara kadhaa kuipeleka gereji mafundi washanilamba mara kibao lakini tatizo lipo palepale, nimebadilisha kwa maelekezo ya mafundi hadi plug (ambazo zote nne ni kama laki moja) mara mbili lakini bado tatizo lipo palepale.
Nishaurini wazee tatizo ni nini nimechoka sasa
tatizo la kuzima mara nyingi linazababishwa na sensors inapo hisi kitu kwenye engine.hizi gari zina mfumo wa computer ambazo kupia sensor zinafanya mawasiliano na engine.nakushauri uifanyie diagnosis ya engine then mtambo utakujulisha ni sensor gani ambayo inasababisha error code,hapo utabadilisha kifaa kingine.plug sio sababu ya hizo miss na kuzima bali sensor ndo zinaiamuru engine kuzima hasa zinapo hisi kitu ambacho sio cha kawaida...........