ngiambuya necha mleu chu naiwama speed inganyi ngaamba naiwama kuri mpaka ***** kulya
luaambuye necha ...
Waakati zoezi la utafutaji wa mamiss limeanza watakaolifkisha ama kuwakilisha
tanzania miss word ..tumeanza kukumbushana tena kwa uchafu ama vituko
ama uzinzi unaotendeka kwenye procedure za upatikanaji ma miss hawa
tushazoe kila baada ya mshindi malalamiko live yanaanza na wengine wenye roho ndogowanaongea live na waandishi jamani kule ngono tupu tumeletewa ja%^^&p ooh
papa m%%^& ati tukitembea nae ndio tunapata ushindi ........
LUNDENGA HIZO TAKATAAKA ZA JUU ATUZIITAJI ZIS TYM KWA KWELI
KAMA KUWAARIBU AMA KUWAUZA MSHAWAUZA VYA KUTOSHA WAPENI
MA MISS WANAOSTAHILI NA SI KWA KUGAWA Uc&*((
kwa mara nyingine tena Hashim a.k.a uncle kama wanavyokuita ma miss ni
wakati wa kujisafisha...nimeona mmeanza na mistake kwa kumuweka kahaba
kama jaji kule arusha sasa mnatarajia nini si atachagua kahaba mwenzake
nahisi ama naa mini
MISSS TANZANIA BILA UKAHABA ..AMA BILA KUTOA UCHI KWA WAKINA PREDESHEE WOTE NA MARAFIKI WA HASHIMU LUNDENGA INAWEZEKANA KABISA;;;;;NATUMAINI REGENCY AITAKUWA TENA KIGANGO CHA KUUZIA MAPREDESHE MA MISS WALIOINGIA KWENYE MISS TANZANIA
mmmh wewe nakufananisha na mtu fulani humu ndani....si wewe kweli?
mkuu masaki
bado si sababu ya kuuza mwili wako kama huna uwezo
kuwa mpole na hili ndilo tatizo la madadazetu wengi sana
nilikuwa namwona mrembo mmoja kule bagamoyo kumradhi wema
kwa kweli ni aibu na si yeye wanakuja wahuni na magari yao toka
mjini wanawachukua tena kwa kuitwa na huyuhuyu mnaemwita mratibu wenu kumradhi sitomtaja
na ikifika wakati msichana anaenda kwa mtu ambae uncle ajaambniwa ni kesi tena anatishiwa kuondolewa
ndio maana kwa kweli kwa sytle hii UKAHABA AUISHI MISS TANZANIA ...
Masaki sikuwezi !