Mimi ni mkristo lia lia ila mambo anayoongea Mohamed said kabla ya uhuru yanafikirisha yasipuuzwe na yafanyiwe kazi

Gibbethon bible code

JF-Expert Member
Oct 9, 2023
441
677
Nimesoma mabandiko mengi ya mzee Mohamed Said kuhusiana na uhuru ni ukweli usiopingika historia ya Tanzania imechakuchuliwa sana ni fupi sana kitu ambacho kinaleta doubt.

Sitaki kumlaumu Julius Kambarage Nyerere ila nachojua alikuwa mwerevu sana kuliko wenzake yaani wakati wapo kwenye harakati za uhuru yeye alikua ameshapiga hesabu za mbali sana kuliko wenzake yaani alikuwa anawadha tofauti sana na wenzake.

Ukiwaangalia wakina abdulwalid sykes na wengineo ni watu ambao walikua loyal sana yaani mambo ya vyeo baada ya nchi kupata uhuru walikuwa hawayawazii walikuwa sahii, ila kwenye dunian ya leo mwisho wa siku mwerevu ndo mshindi.

Ukiangalia harakati za uhuru na baada ya uhuru inatufundisha kwenye maisha haijalishi mko kikundi kwa malengo yeyote jambo unalotakiwa ufahamu ni kwamba kila mtu anapigania maslai yake in-short kuwa loyal na maslai yako na wewe usikae kizembe piga hesabu kali za mbele na penda kujiongeza usikae nyuma nyuma the world is not fair ndio kilicho-msaidia Nyerere.

Hata ukisoma historia ya jomo kenyatta story ni ilele ni mtu mwenye bahati, alijiongeza akawa Rais wa Kenya huku wale waliopigania mau mau wakaachwa kwenye mataa

Ni vizuri alichoandika kwenye vitabu vichukuliwe na viwekwe kwenye historia ya Tanzania vitaleta mwanga ila havitabadilisha kwamba Rais wa kwanza Tanzania ni Julius kambarage Nyerere
 
Nimesoma mabandiko mengi ya mzee mohamed said kuhusiana na uhuru ni ukweli usiopingika historia ya Tanzania imechakuchuliwa sana ni fupi sana kitu ambacho kinaleta doubt

Sitaki kumlaumu Julius Kambarage nyerere ila nachojua alikuwa mwerevu sana kuliko wenzake yaan wakati wapo kwenye harakati za uhuru yeye alikua ameshapiga hesabu za mbali sana kuliko wenzake yaani alikuwa anawadha tofauti sana na wenzake

Ukiwaangalia wakina abdulwalid sykes na wengineo ni watu ambao walikua loyal sana yaani mambo ya vyeo baada ya nchi kupata uhuru walikuwa hawayawazii walikuwa sahii, ila kwenye dunian ya leo mwisho wa siku mwerevu ndo mshindi

Ukiangalia harakati za uhuru na baada ya uhuru inatufundisha kwenye maisha haijalishi mko kikundi kwa malengo yeyote jambo unalotakiwa ufahamu ni kwamba kila mtu anapigania maslai yake in-short kuwa loyal na maslai yako na wewe usikae kizembe piga hesabu kali za mbele na penda kujiongeza usikae nyuma nyuma the world is not fair ndo kilicho-msaidia nyerere

Hata ukisoma historia ya jomo kenyatta story ni ilele ni mtu mwenye bahati, alijiongeza akawa Rais wa Kenya huku wale waliopigania mau mau wakaachwa kwenye mataa

Ni vizuri alichoandika kwenye vitabu vichukuliwe na viwekwe kwenye historia ya Tanzania vitaleta mwanga ila havitabadilisha kwamba Rais wa kwanza Tanzania ni Julius kambarage Nyerere
Nyerere unamuonea tu maana nayeye aliwekwa na Kanisa katoriki baada kuwepo na watu wengine wawili,
 
Mzee Said, ni islamic propagandist, kama ilivyo kawaida yao kuchukua ukweli na kuuchanganya na uongo. Na kusema ni ukweli.

Sio wa kuamini ndio mmoja ya wahamasishaji wa chuki za kidini kati ya watanzania, kumbuka vurugu za magomeni kuvamia na kuvunja mabucha ya kitimoto, kumbuka vurugu za Mwembechai.

Mzee Said ni zaidi ya hizo historia uchwara unazoleta humu. Achunguzwe
 
Nimesoma mabandiko mengi ya mzee mohamed said kuhusiana na uhuru ni ukweli usiopingika historia ya Tanzania imechakuchuliwa sana ni fupi sana kitu ambacho kinaleta doubt

Sitaki kumlaumu Julius Kambarage nyerere ila nachojua alikuwa mwerevu sana kuliko wenzake yaan wakati wapo kwenye harakati za uhuru yeye alikua ameshapiga hesabu za mbali sana kuliko wenzake yaani alikuwa anawadha tofauti sana na wenzake

Ukiwaangalia wakina abdulwalid sykes na wengineo ni watu ambao walikua loyal sana yaani mambo ya vyeo baada ya nchi kupata uhuru walikuwa hawayawazii walikuwa sahii, ila kwenye dunian ya leo mwisho wa siku mwerevu ndo mshindi

Ukiangalia harakati za uhuru na baada ya uhuru inatufundisha kwenye maisha haijalishi mko kikundi kwa malengo yeyote jambo unalotakiwa ufahamu ni kwamba kila mtu anapigania maslai yake in-short kuwa loyal na maslai yako na wewe usikae kizembe piga hesabu kali za mbele na penda kujiongeza usikae nyuma nyuma the world is not fair ndo kilicho-msaidia nyerere

Hata ukisoma historia ya jomo kenyatta story ni ilele ni mtu mwenye bahati, alijiongeza akawa Rais wa Kenya huku wale waliopigania mau mau wakaachwa kwenye mataa

Ni vizuri alichoandika kwenye vitabu vichukuliwe na viwekwe kwenye historia ya Tanzania vitaleta mwanga ila havitabadilisha kwamba Rais wa kwanza Tanzania ni Julius kambarage Nyerere
Anyway tuseme Waislamu wa Kariakoo na hususan wazazi wa huyu mjuba Mohamed Said ambao ndiyo walileta uhuru wa Tanganyika. Itakusaidia nini?

Achana na mtu mwenye agenda za ki Alshabab
 
Nimesoma mabandiko mengi ya mzee mohamed said kuhusiana na uhuru ni ukweli usiopingika historia ya Tanzania imechakuchuliwa sana ni fupi sana kitu ambacho kinaleta doubt

Ukiangalia harakati za uhuru na baada ya uhuru inatufundisha kwenye maisha haijalishi mko kikundi kwa malengo yeyote jambo unalotakiwa ufahamu ni kwamba kila mtu anapigania maslai yake in-short kuwa loyal na maslai yako na wewe usikae kizembe piga hesabu kali za mbele na penda kujiongeza usikae nyuma nyuma the world is not fair ila havitabadilisha kwamba Rais wa kwanza Tanzania ni Julius kambarage Nyerere
Naunga mkono hoja, na kuna vitu havijaandikwa popote ila lazima viwe, mfano rais akiwa ni Mkristo, then ni lazima awe...
P
 
Nimesoma mabandiko mengi ya mzee mohamed said kuhusiana na uhuru ni ukweli usiopingika historia ya Tanzania imechakuchuliwa sana ni fupi sana kitu ambacho kinaleta doubt

Sitaki kumlaumu Julius Kambarage nyerere ila nachojua alikuwa mwerevu sana kuliko wenzake yaan wakati wapo kwenye harakati za uhuru yeye alikua ameshapiga hesabu za mbali sana kuliko wenzake yaani alikuwa anawadha tofauti sana na wenzake

Ukiwaangalia wakina abdulwalid sykes na wengineo ni watu ambao walikua loyal sana yaani mambo ya vyeo baada ya nchi kupata uhuru walikuwa hawayawazii walikuwa sahii, ila kwenye dunian ya leo mwisho wa siku mwerevu ndo mshindi

Ukiangalia harakati za uhuru na baada ya uhuru inatufundisha kwenye maisha haijalishi mko kikundi kwa malengo yeyote jambo unalotakiwa ufahamu ni kwamba kila mtu anapigania maslai yake in-short kuwa loyal na maslai yako na wewe usikae kizembe piga hesabu kali za mbele na penda kujiongeza usikae nyuma nyuma the world is not fair ndo kilicho-msaidia nyerere

Hata ukisoma historia ya jomo kenyatta story ni ilele ni mtu mwenye bahati, alijiongeza akawa Rais wa Kenya huku wale waliopigania mau mau wakaachwa kwenye mataa

Ni vizuri alichoandika kwenye vitabu vichukuliwe na viwekwe kwenye historia ya Tanzania vitaleta mwanga ila havitabadilisha kwamba Rais wa kwanza Tanzania ni Julius kambarage Nyerere
Hakuna Mkristu yeyote anayetumia neno "YANAFIKIRISHA" Hicho ni Kiswahili Cha mtu aliyevimbiwa futari
 
Hakuna dini duniani ila kuna Mungu wa kweli, katika historia ya dini ni kwamba lengo la kuzieneza ni kugawa Waafrika na kuwatawala. Hao wote walio kwa mwamposa wana matatizo ya afya ya akili. Wale masheghe waliofungwa nao hivyo hivyo kwa sababu kuna Waislamu wakubwa katika nchi hii wanajua jinsi ambavyo dini na madhehebu vinavyochonganisha Watanzania. Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, lakini wana makanisa mengi yamewapelekea kuwa na umimi, yaani kila mtu anataka aanzishe la kwake, ile ni mbinu ya uchonganishi. Lakini hakuna honest people kama WanyakYusa, ukimkosea utajua tuu hata kupitia kwa jirani. Mungu wa kweli anaambatana na utu wema, yaani ukiwa mwema huwezi kuwaza wala kutamka mambo yasiyo mema. Hata kama huna dini, maana yake Mungu yupo ndani yako, sio kanisani wala msikitini.
 
Mzee side boi,ni islamic propagandist,kama ilivyo kawaida yao kuchukua ukweli na kuuchanganya na uongo. Na kusema ni ukweli.

Sio wa kuamini ndio mmoja ya wahamasishaji wa chuki za kidini kati ya watanzania,kumbuka vurugu za magomeni kuvamia na kuvunja mabucha ya kitimoto,kumbuka vurugu za mwembechai.

Mzee side bei ni zaidi ya hizo historia uchwara unazoleta humu. Achunguzwe
wewe unahamisha magoli, huko unakotupeleka unatutoa kwenye mada kwa makusudi.
 
Wapigania Uhuru walipigania maslai Yao binafsi na Sio maslai ya wananchi wote hata kesho ni wao na vizazi vyao ndio wanakula keki.
Walikuwa werevu wakawatumia wananchi kama daraja.
 
Back
Top Bottom