Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 732
- 2,154
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua.
Katika video zinazohusu Siasa, kwa miaka yote zile zenye maudhui ya CHADEMA na viongozi wake ndio zimekuwa zikiongoza kwa views, hivyo tangia mwaka 2015 amewatumia vya kutosha wafuasi wa CHADEMA lakini kutokana na kujipendekeza leo kawapiga kapuni.
Haiingii akilini hata kidogo kurusha Live matangazo ya CCM katika kila hatua za chaguzi zao, Mkutano mkuu CCM, UVCCM, mpaka umoja wa wazazi, ikiwemo na matamko ya kipuuzi ya kina Polepole, Jaji Kaijage na mpwa wao Dr. Abbas vyote vimekuwa vikipata coverage ya kutosha, lakini leo hii hata kurusha habari za CHADEMA na tundu Lissu hakuna.
Hapa tunapoongea Millardayo hana habari kuwa CHADEMA na Lissu walikuwepo Singinda, Shelui, Igunga, kahama, Shinyanga na leo wapo Musoma. Mpaka leo habari iliyopo kwake ni ile ya Lissu kupokelewa JK Airpot. Hili halikubaliki hata kidogo, hata kujipendekeza basi ni lazima uwe na aibu.
Hujuma za Millardayo anazozifanya leo zina mwisho, Tukiamua kukupuuza utabakia huna dira, kawaulize TBC watakupa habari. Siku tukiamua kuja na petition ya kukupuuza ndio utajua maana ya nguvu ya umma.
Katika video zinazohusu Siasa, kwa miaka yote zile zenye maudhui ya CHADEMA na viongozi wake ndio zimekuwa zikiongoza kwa views, hivyo tangia mwaka 2015 amewatumia vya kutosha wafuasi wa CHADEMA lakini kutokana na kujipendekeza leo kawapiga kapuni.
Haiingii akilini hata kidogo kurusha Live matangazo ya CCM katika kila hatua za chaguzi zao, Mkutano mkuu CCM, UVCCM, mpaka umoja wa wazazi, ikiwemo na matamko ya kipuuzi ya kina Polepole, Jaji Kaijage na mpwa wao Dr. Abbas vyote vimekuwa vikipata coverage ya kutosha, lakini leo hii hata kurusha habari za CHADEMA na tundu Lissu hakuna.
Hapa tunapoongea Millardayo hana habari kuwa CHADEMA na Lissu walikuwepo Singinda, Shelui, Igunga, kahama, Shinyanga na leo wapo Musoma. Mpaka leo habari iliyopo kwake ni ile ya Lissu kupokelewa JK Airpot. Hili halikubaliki hata kidogo, hata kujipendekeza basi ni lazima uwe na aibu.
Hujuma za Millardayo anazozifanya leo zina mwisho, Tukiamua kukupuuza utabakia huna dira, kawaulize TBC watakupa habari. Siku tukiamua kuja na petition ya kukupuuza ndio utajua maana ya nguvu ya umma.